100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,626
- 12,057
Kuna gari zinakuja ukicharge mara moja unakwenda km 1000 na zaidi.Lakini Kwa u meme wetu ambao hata kuwasha vibatari ni issue, sijui itakuwaje, watu waanze kuwa serious na solar sasa, TANESCO ni janga lingine
Acha waendelee kupiga deals za mafuta lakini mwisho unakuja, sasa kuna yutong zile basi kubwa kabisa za umeme, kuna bajaji na toyo za mizigo za umeme, tujiandae kisaikolojia, wazungu wanasepa na kijiji.