Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,763
- 29,343
YesUmesema Kuna watumishi wapo porini ukimaanisha shirika lipo porini, ndo nauliza kwahy watumishi wote hawajatimiza wajibu wao kwenye huo mfumo.?
YesUmesema Kuna watumishi wapo porini ukimaanisha shirika lipo porini, ndo nauliza kwahy watumishi wote hawajatimiza wajibu wao kwenye huo mfumo.?
Kuna uzembe wa mtu mmoja mmoja , boss na taasis kwa ujumla.Ukiachana na hayo yote uliyoaandika,kimsingi watumishi wengi tu wazembe sana,tuvitu vidogovidogo tu hadi tusukumwe sukumwe kama gari bovu hadi wananchi wanatudharau.
Huo mfumo ni mrahisi mnoo lakini nashindwa kuelewa hao laki100 kama ni kweli haiingii akilini wote wawe hawajapewa role na wakuu wao,hawawezi kuwa wengi hivyo.
Acha kila mmoja awajibike ktk eneo lake
Kikubwa Serikali ilipe watumishi hakuna uhusiano wowote wa mfumo na ulipaji Mishahara maana haijawai kutoa waraka kuwa usipojisajili mshahara wako haupati zaidi ya matamko ya mawaziri. Lakini wengi ni watumishi wa TAMISEMIWe jamaa Acha kutetea uzembe.
Unataka miezi mingapi kujaza hizi forms, kitu cha madakika tu mnataka mbembelezweeeee.
Watumishi wa serekali ni wavivu fullstop. Mnafanya kazi kwa mazoea.
Eti ujambazi, yaani unaambiwa jaza majukumu yako hutaki na unaita ujambazi. Badilikeni nyie watu, dunia inaenda kasi sana hii. Acheni kulea ujinga na uzembe
Sio swala kukwepa, mtu yupo kijijini huko hakuna mtandao anajazaje sasa ? Na hapo ndipo kituo cha kazi ??Unahisi utakwepa hadi lini? Ni suala la muda tu ulimwengu wote unahamia huko
Mnakwepa kusema mlichofanya kila siku. Na ni sababu hamfanyi kitu.Sio swala kukwepa, mtu yupo kijijini huko hakuna mtandao anajazaje sasa ? Na hapo ndipo kituo cha kazi ??
Haya kujaza kunakiwa kila siku ulichofanya hiyo pesa ya bando na gharama ziko hivi unafanyaje sasa ?
Basi wote hao wana matatizo ya akili na sidhani kama hilo shirika linaingiza faida kwa serikali
Ni kweli kabisa kiongozi, utakuta wanahangaika na kucheza na maneno/ maandishi mengi kwa mtumishi bila kufuatilia utendaji halisi wa kazi ambao ndio huleta tija.Wizi mtupu! Huo mfumo wenyewe kama ilivyokuwa kwa Opras, sidhani kama una tija yoyote ile.
SeriMfumo unahitaji access ya kompyuta na internet, je watumishi wote wanayo hiyo access?
Mwisho wa siku watumishi wanakuwa wanashinda kwenye kumpyuta kujaza taarifa, yaani masaa kadhaa yatakuwa yanaisha kwa kazi hiyo.
Kujaza sio tatizo ila tatizo kama hauna role yaani Mkuu wako labda alijisahau kukupa majukumu ndo imekula kwako hivo.Mbona watumishi wapo wengi tu hawajamaliza kujaza na wamepata mshahara.
Wengi mbona mkuu hawana tasks and subtasks kutoka kwa kiongozi wao na wamepata mshahara. Yani walijisajili tu na hawakujaza chochote.Seri
Kujaza sio tatizo ila tatizo kama hauna role yaani Mkuu wako labda alijisahau kukupa majukumu ndo imekula kwako hivo.
Sio Kila mtu atakumbuka kuingia online. Maana majukumu mengi mtu anayafanya kwa njia ya Mkono.Mfumo unahitaji access ya kompyuta na internet, je watumishi wote wanayo hiyo access?
Mwisho wa siku watumishi wanakuwa wanashinda kwenye kumpyuta kujaza taarifa, yaani masaa kadhaa yatakuwa yanaisha kwa kazi hiyo.
umeibua changamoto muhimu sana,Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.
Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
- Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
- Kupata salary slip kupitia mfumo huu
- Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.
Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza
Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.
Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.
Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.
Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.
Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.
Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Mfumo upo hivi ukijisajili Mkuu wako anakupa role na anakupa section , km umejisajili na hukupewa section Hilo ndo tatizo hata huku nilipo wengi hawakujaza task wala sub task lkn walipewa section, km una section hata km hukujaza sub activity au task na sub task mshahara unapataWengi mbona mkuu hawana tasks and subtasks kutoka kwa kiongozi wao na wamepata mshahara. Yani walijisajili tu na hawakujaza chochote.
CCM ni majangili kwenye kivuli Cha chama na yamejitengenezea katibaSerikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.
Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
- Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
- Kupata salary slip kupitia mfumo huu
- Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.
Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza
Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.
Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.
Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.
Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.
Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.
Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Kabisa tuelimishane kiongozi. Kumbe sasa sio kujaza tasks and subtasks ndo unapata mshahara ila kujisajili tu. Na je waliopo masomoni wanajazaje tasks and subtasks?.Mfumo upo hivi ukijisajili Mkuu wako anakupa role na anakupa section , km umejisajili na hukupewa section Hilo ndo tatizo hata huku nilipo wengi hawakujaza task wala sub task lkn walipewa section, km una section hata km hukujaza sub activity au task na sub task mshahara unapata
Sijui km tunaelimishan vzr
Uwajibikaji haubembelezwiSerikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.
Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
- Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
- Kupata salary slip kupitia mfumo huu
- Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.
Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza
Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.
Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.
Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.
Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.
Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.
Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.
Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Lakini kumbuka huyo Mtumishi ametekeleza wajibu wake ofisini, mfumo huwezi kumnyima mtu haki kisa TU vigezo vya upimaji hajajaza online .umeibua changamoto muhimu sana,
hata hivyo lack of seriousness kwa baadhi ya hao watumishi na huenda pia lack of awareness inaweza kuchangia pakubwa wengi wao kuzama au kutumbukia kwenye changamoto hiyo. Watapitia changamoto, lakini jasho lao haliwezi potea ispokua watachelewa kulifurahia
Lakini pamoja na hayo yote, bado haki inakwenda sambamba na wajibu. Ni muhimu kutekeleza wajibu wetu vema ili kupata stahiki na haki zetu kwa usahihi 🐒
Mkuu, reply zako zinaonesha wewe ni spoilt brat, umeishishwa mjini tu.Basi wote hao wana matatizo ya akili na sidhani kama hilo shirika linaingiza faida kwa serikali
Majina yalitolewa tarehe 21 tarehe 23 mtu unakata mshahara wake muda huo huo changamoto bado ni kubwa.At some point ni uzembe but mi najiulizaga kwanini serikal ikiwa inataka kuchukua hatua serious kama hii haitoi official statement unakuta kitu kinasemwasemwa tu ila official statement hakuna,ili paswa itolewe official statement irudiwe ata three times kwenye mwezi husika wanaotaka kuzuia,hii wanachukua maamuzi kama cia au mossad inaumiza watu