Mimi nawaambia watu hapa kuwa Kikwete ana/ataiba pesa za wabongo kuliko viongozi wote waliomtangulia combined watu wanabisha. Wanaomtetea Kikwete hawasemi kizuri chochote alichofanya zaidi tu ya kuwa yeye ni mcha mungu na muungwana.
Akhhh kazi kweli kweli. Kikwete anaipeleka hii nchi kuzimu
Akhhh kazi kweli kweli. Kikwete anaipeleka hii nchi kuzimu