Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Haaa haaa ulikuwa unaendesha malori ukipata fedha unaandaa parties mwisho wa siku ukarudi bongo na jeans ukitegemea Baba yako atakuwa Rais Mzee Kifimbo hakamzuia ikabidi uingie mwenyewe front ukagombea ubunge wa EA ukashindwa kujieleza ukaangukia pua,ukasubiri fadhila za JK akakutosa siku hizi unakimbizana na udalali wa kuuza viwanja,nyumba za urithi.......

Najua unanyemelea jimbo la Mtera kule yupo mropokaji sijui kama utafurukuta jamaa kajichimbia sana yaani kila kitu kinaelekea kwenda kombo.

- Hapana nimerudi na Elimu kubwa sana ndio maana hapa bongo wamerudi wengi toka majuu wameshindwa mimi nipo mpaka leo na ninasomeka na mpaka na wewe ambaye sio siri unayafuatiilia sana maisha yangu Mwanaume mzima hahahah, nia na madhumuni ya kugombea ubunge wa EAC ilikuwa ni pamoja na kujiweka sawa na Viongozi maana kura zote zilipigwa na Viongozi ambao wengi sasa hivi ninashirikiana nao kwenye mambo mengi sana ya jamii so nisingegombea nisingewajua, hahahaha, ubunge sijasema nagombea ila najua unaniogopa sana the way unavyoniongelea inaonyesha unajua hii ngoma ni nzito na imejaa, so relax mkuuu hjahahahahahahaha

Le Mutuz
 
- Diamond hana mpinzani Tanzania na kazi zake haizwezi kuhukumiwa kwa kura, sio kosa la Diamond kwamba ana kipaji kinachowaacha wenziwe maili 20 nyuma, Ali Kiba bado hawezi kupiga Show ya Shillingi Millioni 3 Meza moja na zikaisha please, Diamond haiwezekani ahangaike kutafuta kura kipaji chake kinatakiwa kuhukumiwa kwa matokeo ya kazi zake pole sana ila huna hoja na hujui unachotetea zaidi ya Yanga na Simba ambayo sio nia na madhumuni yangu hapa!!

Le Mutuz
Kwa hiyo ulitaka Diamond apite bila kupigiwa kura?Basi anzisha tuzo zako.Le mutuz Tuzo,nenda Basata ,Brela uanzishe tuzo.ili uwe unachagua wasanii wako mwenyewe unaowapenda mwenyewe peke yako.Hizi tuzo za watu haziko kama unavyotaka wewe iwe
 
Bro thread nzuri ila wote tunafahamu hasira zote hizi ni kwa sababu Ali Kiba alimbwaga Diamond kwenye Tuzo za Watu. Nilitegemea msomi kama wewe unaelewa tuzo zinazoendeshwa kwa mfumo huu kura za mashabiki ndio zinaamua mshindi kwa 100%, tafadhali pitia kwa waanzilishi wa Marekani People's Choice Awards: Fan Favorites in Movies, Music & TV - PeoplesChoice.com uangalie utaratibu wao kisha linganisha Tanzania People Choice Awards hakuna tofauti, popular vote ndio inaamua mshindi.

Tuzo kama Kili ndio zinahusisha majaji kwa sababu toka hatua za awali zinahusisha Academy kwa hiyo kunahitajika majaji watakaohakiki. Kitu pekee ninachoweza kukwambia umshauri rafiki yako Diamond na team yake ni kuwa waache kudharau hizi tuzo za ndani. Majina yalipotangazwa Ali Kiba alipost Instagram na Facebook kuomba kura kwa mashabiki na team yake ilikuwa mstari wa mbele kupiga kampeni Instagram ikiwatumia watu wengine maarufu kumuombea kura. Upande mwingine Diamond hakuwa na time kabisa,

ndio kwanza akaanza kuziponda tuzo za Kili mara baada ya Wema na Jokate kuanza kumpigia debe Kiba. Bado wiki mbili upande wa Kili kura zifungwe na ninakuhakikishia kuna kila dalili ya Diamond kuangukia pua kwa mara nyingine kama ataendelea na kiburi cha kutegemea eti kwa kuwa ni maarufu au ndiye mwanamuziki anaetambulika kuliko wote kwa sasa kwamba basi atapewa tuzo. Akamuulize Fid Q ambaye alikuwa na mentality hiyo hadi aliposhtuka mwaka jana baada ya kina Fella na Babu Tale kuendesha kampeni ya kumuombea kura na akapata tuzo mbili.

Kuhusu website maarufu, tambua kwamba Jamii Forums walikuwa wadhamini wa tuzo na hiyo moja kwa moja ilikuwa inawaondoa katika kinyang'anyiro. Na kama ulikuwa hujui website zenye traffic kubwa kwa sasa Tanzania ni Jamii Forums, Millard Ayo, Issa Michuzi, Global Publishers na Raha Tupu (ile ya ngono). Pamoja na hayo kura ndio ilikuwa inaamua kama wapenzi wa website tajwa hapo juu ukitoa JF na Millard hawakupiga kura kwa wingi usitegemee wataingizwa kwa kuwa tu ni "mafaza".

Miss Tanzania sifahamu sana, ila ninavyoelewa inaendeshwa na kampuni iliyopewa leseni na Miss World kwa hiyo BASATA hawana uwezo wa kuwaambia jamaa wawanyang'anye leseni ni sawa na Wizara ya Michezo isivyokuwa na uwezo wa kuwaambia CAF au FIFA wamtimue Malinzi.

Mkuu hii inatosha kuufunga mjadala kabisa imejielezea vizuri. Bro @W.J Malecela kubali kuwa umekurupuka get your facts straight.
 
mkuu Le Mutuz hebu angalia viongozi wa BASATA walikookotwa , ukifuatiliwa utagundua kwamba walioshindwa mahali pengine ndio huletwa BASATA , kigezo kikubwa ni wale waliokisaidia chama mahali fulani .
 
  • Thanks
Reactions: BAK
- Hapana nimerudi na Elimu kubwa sana ndio maana hapa bongo wamerudi wengi toka majuu wameshindwa mimi nipo mpaka leo na ninasomeka na mpaka na wewe ambaye sio siri unayafuatiilia sana maisha yangu Mwanaume mzima hahahah, nia na madhumuni ya kugombea ubunge wa EAC ilikuwa ni pamoja na kujiweka sawa na Viongozi maana kura zote zilipigwa na Viongozi ambao wengi sasa hivi ninashirikiana nao kwenye mambo mengi sana ya jamii so nisingegombea nisingewajua, hahahaha, ubunge sijasema nagombea ila najua unaniogopa sana the way unavyoniongelea inaonyesha unajua hii ngoma ni nzito na imejaa, so relax mkuuu hjahahahahahahaha

Le Mutuz
Nani akuchague mbunge wewe?halafu siku ya tuzo za watu ulibaniwa interview kwenye red capert,halafu hakuna hata mbeby alietaka kupiga picha na wewe,ndo maana una hasira.Pole
 
- Diamond hana mpinzani Tanzania na kazi zake haizwezi kuhukumiwa kwa kura, sio kosa la Diamond kwamba ana kipaji kinachowaacha wenziwe maili 20 nyuma, Ali Kiba bado hawezi kupiga Show ya Shillingi Millioni 3 Meza moja na zikaisha please, Diamond haiwezekani ahangaike kutafuta kura kipaji chake kinatakiwa kuhukumiwa kwa matokeo ya kazi zake pole sana ila huna hoja na hujui unachotetea zaidi ya Yanga na Simba ambayo sio nia na madhumuni yangu hapa!!

Le Mutuz

Kwani ilikua ni show??? Hebu tukumbushe aliimba nyimbo gani??
 
Haaa haaa mbona ulishindwa kujieleza kwenye uchaguzi wa EA ulikuwa unaishiwa pumzi utadhani una HBP,usomi ni pamoja na uwezo wa kutawala jukwaa kama lile sasa tukikwambia nenda kuhutubie hata hapo Kenya si ndio utakimbia kuliko Filbert Bayi .Ulimwona mwenzako Makongoro Nyerere kaingia bila wasiwasi kajieleza vizuri watu wakacheka mwisho wa siku kawa mbunge wewe bado unaangaika hapa mjini na miss Tanzania & Diamond katika umri huu.

Lusinde alimwngusha Baba yako na wewe ukitia pua pale Mtera utakwenda na maji haaa haaaa haaaa.


- Hapana nimerudi na Elimu kubwa sana ndio maana hapa bongo wamerudi wengi toka majuu wameshindwa mimi nipo mpaka leo na ninasomeka na mpaka na wewe ambaye sio siri unayafuatiilia sana maisha yangu Mwanaume mzima hahahah, nia na madhumuni ya kugombea ubunge wa EAC ilikuwa ni pamoja na kujiweka sawa na Viongozi maana kura zote zilipigwa na Viongozi ambao wengi sasa hivi ninashirikiana nao kwenye mambo mengi sana ya jamii so nisingegombea nisingewajua, hahahaha, ubunge sijasema nagombea ila najua unaniogopa sana the way unavyoniongelea inaonyesha unajua hii ngoma ni nzito na imejaa, so relax mkuuu hjahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Bro thread nzuri ila wote tunafahamu hasira zote hizi ni kwa sababu Ali Kiba alimbwaga Diamond kwenye Tuzo za Watu. Nilitegemea msomi kama wewe unaelewa tuzo zinazoendeshwa kwa mfumo huu kura za mashabiki ndio zinaamua mshindi kwa 100%, tafadhali pitia kwa waanzilishi wa Marekani People's Choice Awards: Fan Favorites in Movies, Music & TV - PeoplesChoice.com uangalie utaratibu wao kisha linganisha Tanzania People Choice Awards hakuna tofauti, popular vote ndio inaamua mshindi. Tuzo kama Kili ndio zinahusisha majaji kwa sababu toka hatua za awali zinahusisha Academy kwa hiyo kunahitajika majaji watakaohakiki. Kitu pekee ninachoweza kukwambia umshauri rafiki yako Diamond na team yake ni kuwa waache kudharau hizi tuzo za ndani. Majina yalipotangazwa Ali Kiba alipost Instagram na Facebook kuomba kura kwa mashabiki na team yake ilikuwa mstari wa mbele kupiga kampeni Instagram ikiwatumia watu wengine maarufu kumuombea kura. Upande mwingine Diamond hakuwa na time kabisa, ndio kwanza akaanza kuziponda tuzo za Kili mara baada ya Wema na Jokate kuanza kumpigia debe Kiba. Bado wiki mbili upande wa Kili kura zifungwe na ninakuhakikishia kuna kila dalili ya Diamond kuangukia pua kwa mara nyingine kama ataendelea na kiburi cha kutegemea eti kwa kuwa ni maarufu au ndiye mwanamuziki anaetambulika kuliko wote kwa sasa kwamba basi atapewa tuzo. Akamuulize Fid Q ambaye alikuwa na mentality hiyo hadi aliposhtuka mwaka jana baada ya kina Fella na Babu Tale kuendesha kampeni ya kumuombea kura na akapata tuzo mbili.

Kuhusu website maarufu, tambua kwamba Jamii Forums walikuwa wadhamini wa tuzo na hiyo moja kwa moja ilikuwa inawaondoa katika kinyang'anyiro. Na kama ulikuwa hujui website zenye traffic kubwa kwa sasa Tanzania ni Jamii Forums, Millard Ayo, Issa Michuzi, Global Publishers na Raha Tupu (ile ya ngono). Pamoja na hayo kura ndio ilikuwa inaamua kama wapenzi wa website tajwa hapo juu ukitoa JF na Millard hawakupiga kura kwa wingi usitegemee wataingizwa kwa kuwa tu ni "mafaza".

Miss Tanzania sifahamu sana, ila ninavyoelewa inaendeshwa na kampuni iliyopewa leseni na Miss World kwa hiyo BASATA hawana uwezo wa kuwaambia jamaa wawanyang'anye leseni ni sawa na Wizara ya Michezo isivyokuwa na uwezo wa kuwaambia CAF au FIFA wamtimue Malinzi.

1. Diamond sasa hivi Msanii maarufu Afrika sio Tanzania tu, ndio maana nimekasirishwa kuona anashushwa hadhi na sisi Watanzania kwa maneno ya ujanja ujanja wa kura ambazo zimetushinda kwenye siasa na sasa kuna anayetaka kuzihamishia kwenye Sanaa it was wrong na it is wrong, ni kweli ninampenda Diamond kwa sababu ndiye Mtanzania wa kwanza kutuondolea aibu ya Sanaa, nina furaha sana kuona Wasanii wageni hawaji tena kama zamani maana ukimlipa Dimaond Show inalipa kama zamani tulipokuwa tunawaleta wageni, Diamond ndiye MTanzania wa kwanza kuitangaza Tanzania nje ya kwa Sanaa so upo sawa nimekasirika kuona anadhalilishwa bila sababu za msingi.

2. Kipaji cha Sanaa huwa klinaamuliwa na vigezo vingi sana sio Kura 100%, nimeishi USA Miaka 25 nimepiga muziki as a DJ New York na nimeandaa matamasha mengi sana ya Sanaa kule ninajua the system za Zawadi kubwa kule kwamba kura zinashiriki 30% tu ndio maana New York kuna Wasanii kama Big Dady Kane na Heavy D waliokuwa wanakubalika sana mtaani lakini ni LL Kool J ndiye aliyekuwa anashinda Zawadi kwa sababu namba moja alikuwa anauza sana kuliko wenziwe wanaokubalika mtaani, so sio kweli kwamba kura zinatumika majuu 100% ni uongo na wewe umedanganywa na hizo webesite na hizo zawadi ambazo hazijulikani kabisa.

3. Dharau haina anything to do na kazi za msanii Michael Jackson alikuwa na dharau ya ajabu sana lakini hata kwenye Tuzo za Weusi wenziwe walikuwa wanaheshimu Kipaji chake siku zote walikuwa wanampa Zawadi na hakuwahi kwenda kwenye Tuzo zao lakini hawakuwahi kumyima, so wachana na huo ujinga wa dharau unataka afanye nini apige bure?

4. Jamiiforums baada ya kutokuwemo kwenye nomination then they were free kuwa Wadhamini lakini haibadili ukweli kwamba Jamiiforums ndio inaongoza Tanzania kwa kuwa na Viewers wengi kuliko anybody in Tanzania kwa hiyo zawadi ya Web/Blog ilikuwa ni yao sio mwingine yoyote.

5. Miss Tanzania ni ya Mhindi Patel sio ya anybody else na yeye hahusiki kabisa na ,mashindano hayo kwa sasa kilichotakiwa kufanywa ni kumuomba yule mhindi ampe rights mtu mwingine kitu ambacho kinawezekana kabisa, kwa hiyo hata hapo huna excuse na ninahisi wewe unatokea BASATA maana maelezo yako nimeshayasikia toka kwa Mtu mmoja wa BASATA kama basi ndio maana kuna matatizo maana this is your thinking na hujaona hata aibu kuiweka hapa as a serious argument ya kutetea uozo, aibu sana na hili Taifa!!

KAJIPANGE TENA MKUU

Le Mutuz
 
Kwa hiyo ulitaka Diamond apite bila kupigiwa kura?Basi anzisha tuzo zako.Le mutuz Tuzo,nenda Basata ,Brela uanzishe tuzo.ili uwe unachagua wasanii wako mwenyewe unaowapenda mwenyewe peke yako.Hizi tuzo za watu haziko kama unavyotaka wewe iwe

- Sikutegemea kijana mdogo aliyelikomboa Taifa letu na aibu ya miaka yote ya uhuru anaweza kuja kudhalilishwa na wajinga wajinga kama siku ile, eti kisa na mkasa anaringa sana hakuwashirikisha kwenye ZAri White party wanataka pesa yaani mtu apige muziki alale macho Studio halafu aje kuhonga pesa awe mshindi hahahahahaha pole sana!!

Le Mutuz
\
 
Kura ndio zilizoamua kuwa nani awe mshindi kama kuhusu colabo alikiba amefanya colabo ya kimataifa kabla huyo diamond ajawa diamond pia alikiba ndio alimsaidia diamond kurecord bure kwenye studio yao yeye na Bob junior sasa kama wewe ujui Ali kiba kama anapendwa na watu kura ndio zimekujulisha tambua alikiba ndo Msanii Wa kiume anayependwa zaidi na push mobile awawezi kupindisha matokeo ya kura Kwa huyo kura zimeamua
 
W. J. Malecela

Mambo ya kitoto hayo achana nayo haya Je alikiba akichukua tuzo za kili June utasemaje
 
Last edited by a moderator:
Nani akuchague mbunge wewe?halafu siku ya tuzo za watu ulibaniwa interview kwenye red capert,halafu hakuna hata mbeby alietaka kupiga picha na wewe,ndo maana una hasira.Pole

- Labda kama wewe umeshachaguliwa kuwa mbunge hahahahaah sikuenda kupiga picha nilialikwa kuhudhuria Tunzo kama picha nenda kwenye my blog zipo kibao na mabebezz halafu mbona hujamtaja baby niliyekuja naye? hahahahahahaha


Le Mutuz
 
Haaa haaa mbona ulishindwa kujieleza kwenye uchaguzi wa EA ulikuwa unaishiwa pumzi utadhani una HBP,usomi ni pamoja na uwezo wa kutawala jukwaa kama lile sasa tukikwambia nenda kuhutubie hata hapo Kenya si ndio utakimbia kuliko Filbert Bayi .Ulimwona mwenzako Makongoro Nyerere kaingia bila wasiwasi kajieleza vizuri watu wakacheka mwisho wa siku kawa mbunge wewe bado unaangaika hapa mjini na miss Tanzania & Diamond katika umri huu.

Lusinde alimwngusha Baba yako na wewe ukitia pua pale Mtera utakwenda na maji haaa haaaa haaaa.

- Labda ufungue thread inayonihusu maana naona upo nje kabisa ya mada mkuu hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Kura ndio zilizoamua kuwa nani awe mshindi kama kuhusu colabo alikiba amefanya colabo ya kimataifa kabla huyo diamond ajawa diamond pia alikiba ndio alimsaidia diamond kurecord bure kwenye studio yao yeye na Bob junior sasa kama wewe ujui Ali kiba kama anapendwa na watu kura ndio zimekujulisha tambua alikiba ndo Msanii Wa kiume anayependwa zaidi na push mobile awawezi kupindisha matokeo ya kura Kwa huyo kura zimeamua

- Ali Kiba hajafikia status ya Diamond never hata huko zamani hakufikia na hatakuja kufikia, kura za siasa zimetushinda leo zikatumike kwenye sanaa hahahahahaha na wewe unatetea uozo kwa sababu ya chuki tu hujui kwamba kilichoharibiwa ni process sio jina la mtu pole sana!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom