Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

wewe Jamii forum siyo blog,Brother tumia akili tatizo ulitaka Diamond ashinde,ndo kashindwa kura zimeamua.Kiba kashinda period,usilazimishe mawazo yako ndo yawe Yes.Tatizo blog yako haikuchaguliwa.Kwanza lazima ujuwe kwamba watu ndo waliochagua.
 
unataka miss tz ifunguliwe ili uendeleze ukuwadi wako??? utalaumu sana lakini miaka miwili itapita ukiwa alosto mkuu pole....

- I know si nilishawahi kukuuza na wewe ndio maana unajua sana hizo habari hahahahahahahah

Le Mutuz
 
wewe Jamii forum siyo blog,Brother tumia akili tatizo ulitaka Diamond ashinde,ndo kashindwa kura zimeamua.Kiba kashinda period,usilazimishe mawazo yako ndo yawe Yes.Tatizo blog yako haikuchaguliwa.Kwanza lazima ujuwe kwamba watu ndo waliochagua.

- Yalikuwa ni mashindano ya Website/Blog nenda kaangalie hata matangazo yao, hayo mengine ni too low kwangu kujadili na wewe maana huna uwezo mkubwa wa kufikiri na kuona mbele kama wangu ungekuwa ungeona kwamba ninalalamikia process maana ukiruhusiwa mbele ya safari Wasanii watatakiwa kutoa rushwa kushinda kura kama kwenye siasa, uwezo wako ni mdogo sana wa kufikiri hahahaha na huna hoja!!

Le Mutuz
 
hii habari ni ya kisiasa kweli au mm ndio niko kwenye wrong forum???
 
Huwa sisahihishi "typing" error, huwa nasihihisha Kiswahili kinapopotoshwa, hususan kwenye "R" na "L". Lakini nnafurahi ikiwa nimekosea "typing" na mtu akanionesha, huwa nnakwenda kurekebisha.

Siku hizi wewe hukosei kwenye "R" na "L" umefaidika sana na darsa la FaizaFoxy.

Kwa kifupi sijawahi kukosea kwenye ''R'' na ''L'' pengine umenifananisha. Ila ukumbuke kuna baadhi ya makabila yana tatizo hilo kwa hiyo sio la mtu binafsi na hivyo wewe kuchukulia kama kejeli fulani hivi
 
Mbona unakwepa kuzungumzia hicho kiofisi chako au kwakuwa kimechoka sana,Jina lako lilikatwa kwakuwa unapenda kupiga picha na vibinti vidogo ndio ilikuwa sababu ya kunyimwa ukuu wa wilaya.Kazi ya udalali imekushinda viwanja,nyumba na mashamba wanuuzi siku hizi hawapendi mtu wa kati (dalali) bora ukuu wa wilaya una uhakika wa makazi bora,usafiri wa uhakika sio kile kivitz chako kinakaribia kufa engine kwa uchakavu & overloading due to your body overweight haaa haaa.



- Haya yote ulkiyoandika hayanihusu hakuna Jumuiya inapeleka majina ya WAgombea ingakuwa kweli Wangepata wengi sana kutoka Jumuiya na hata wewe ungepata, hahahahahahaha eti unasema jina langu ulipeleka wewe na uknaiona ninalia sana hahahahahahahah siku ikitokea nitakuwa nakaribia kufwa eti nalilia ukuu wa wilaya, hapana mkuu inawezekana unajisema mwenyewe, eti unategemea mimi niondoke hapa downtown nikawe mkuu wa Wilaya ya Mkarama? hahahahahaha


Le Mutuz
 
- Yalikuwa ni mashindano ya Website/Blog nenda kaangalie hata matangazo yao, hayo mengine ni too low kwangu kujadili na wewe maana huna uwezo mkubwa wa kufikiri na kuona mbele kama wangu ungekuwa ungeona kwamba ninalalamikia process maana ukiruhusiwa mbele ya safari Wasanii watatakiwa kutoa rushwa kushinda kura kama kwenye siasa, uwezo wako ni mdogo sana wa kufikiri hahahaha na huna hoja!!

Le Mutuz
Watu ndo waliochagua,sasa wewe unabisha nini?usipingane na mawazo ya watu,eti Diamond alijaza watu Mwanza nani kakuambia alijaza peke yake,kulikuwa na wananii wengi kama Yamoto band,Madee,H baba na wenginne kibao leo mnamuona Diamond tu,hapa nakujibu ujinga wako unaoandika kule insta,maana kule mtu akiandika na usivyotaka basi unamblock,hapa nakupa fact tu.Tatizo wivu ndo unakusumbua,kwani Mwanamziki Tanzania ni Diamond tu?Watu wamepiga kura kuwa wanampenda Kiba zaidi ya Diamond wewe unabisha nini?kama vipi anzisha tuzo zako ambazo utakuwa unachagua mwenyewe peke yako
 
- Kasome tena matangazo ya TUZO ilikuwa ni blog/website pole sana

Le Mutuz

Hivi wewe unacholalamikia ni nini hasa Millard Ayo kupata tuzo? warembo wako kutoshoriki mashindano? Diamond kutopata tuzo? Hivi unadhani Diamond atakaa kileleni daima bila kushuka? Nadhani hapo utakuwa unajidanganya sana
 
Mzee pambana kumsaidia mtu wa kambi yako membee wanawake wote hao ulipiga nao picha hawajakutoshaa unaposema
Diamond anamzidi alikiba akili yako nakuwa siisomi
Na pia unapokuja kunimaliza kabisa palr unaposema jamii forum.ni blog nachoka kabisaaa
Usiache nianze kuamini kwamba mz3e alikupeleka abroad uende kukuaa sio kusoma upate exposure na Iq maana naona unayoyafanya are far apart with whats unachotakiwa kukifanya maishani mwakoo
 
Back
Top Bottom