Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,663
- 20,417
Lakini nasisitiza serikali haina mgogoro na viongozi wa dini ..."
Aisee hata mimi nahisi kuna hali fulani ya kujihami kwa jambo fulani litakalofanywa na serikali, au muungwana amewatuma wapime upepo kabla ya OIC et al?Something is wrong somewhere.