Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

Status
Not open for further replies.
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.

Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.

Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.

Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.

Yaani makanisa yaadhibiwe kwa sababu ya mkeo? Hata hiyo ndoa yako si takatifu kama unavyodhani, unless ni ya ki-dotcom. Unakiuka misingi ya ndoa halafu unasingizia ulokole? Mbona ki-takwimu asilimia kubwa ya wanawake waliookoka ni wake bora? Waume zao hawana presha tena. Wewe utakuwa na tatizo, acha kunyoosha kidole kushambulia institutions kwa upungufu wako.
 
Yaani we ndoa yako ikikushinda serikali ifunge kanisa. Sasa kivumbi mtoto wako akianza kushinda shule, napo utaamuru shule zifungwe.

Suala la mkeo nila kisaikolojia zaidi, halimalizwi na serikali. Huyo unayemuita 'mtu wa maana' hana maana yeyote zaidi ya Mungu.
 
Kwa hakika makanisa haya ya kilokole yamekosa mtazamo endelevu. Makanisa hayo yamekuwa mengi tena yakianzishwa na mtu mmoja mmoja na hawa watu ndio chimbuko utitiri huo. Mtu akitifautiana na wenzake anakimbilia kuanzisha kanisa lake. Kwa vile yameanzishwa na mtu moja basi hakuna utaratibu wa uendelevu na huyo mwanzilishi akifa wanakondoo hubaki bila mchungaji na husambaratika na kuanza kutangatanga.
Wao huangalia roho pekee bila ya kuangalia namna ya kuuwezesha mwili uweze kulinda roho.

Labda yangeanzishwa na serikali yaingizwe kwenye katiba? Hoja nyingine mfu kabisa. Hebu toa mfano wa kanisa ambalo mchungaji wake alikufa na kanisa kusambaratika. Illusion.
 
Pale kwa Kakobe mpaka utawaonea huruma watoto maana mama anawashindisha na njaa watoto,au amewaacha Nyumbani bila uangalizi kisha mama anakesha kwenye maombi
Akili za uswahilini bwana, hivi nyie wa 'jua kuzama kwenye tope' ni wa kusema kuhusu mama kuangalia watoto?!!!

Wanawake wenu wanashinda kwenye rusha-roho huko husemi. Vitoto vyenu vina tabia mbayaaaa saa ya kula sbbkamezoea kula kwenye hitima na misiba. Au muda unaotumika kujichora hina mwili mzima sio hoja, hoja ni mtu akiwa kanisani?

Achilia mbali kinamama, wababa watu wazimaa wanashinda msikitini wanacheza bao mchana kutwa, hao hamuwaoni?
 
Je kipimo cha elimu ndo kipimo cha mafanikio?Asilimia kubwa ya makanisa ya kilokole ni majanga ni yanafarakanisha ndoa jamii na koo za watu!!Kwa ujumla hekima kwa ni kitu cha gharama kubwa sana kwa hiyo hawana!!wakikemea pepo wanaona raha.Kukemea pepo si kigezo cha utakatifu.
 
Baba nanih kuwa makini, huko nako sikuhizi wanapanda mbegu. Akishaanza kupanda mbegu ndg yangu mmekwisha. Ninareference kibao ambao mitaji yao ya biashara imekufa kisa mama nanih kapanda mbegu kwenye maombi ili Bwana YESU amrudishie marambili ya alichopanda.
 
Huyo mke wako kasha kolea wa mchungaji ndio maana hata kitanda hatandiki anawahi dushelele,hamna ulilosema linahusiana na na kanisa kijana.

Ni kweli kabisa, wakifika kule huwa wanatongozwa kwa gia ya kwamba mume ambae hajaokoka ni wa kidunia tu na huko huwa wanaanzisha mapenzi mapya ya kwenda pamoja mbinguni na mlokole mwenzie. Kuna jamaa yangu kaacha mke hivi karibuni baada ya kubaini uasherati huo wa mkewe.
 
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.

Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.

Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.

Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.

Hata walutheri siku hizi tunaokoka, tunamkaribisha kwenye FARAGHA kila jumapili jioni na siku zote za katikati ya wiki! Yuko usharika gani tukampokee? Na usisahau kumkumbusha kuja kwenye mkesha kila jumapili ya mwisho wa mwezi kuanzia saa 1 jioni hadi 12 asubuhi!
 
Juzi tu kanisa lako tukufu kule Sweden walipitisha azimio la kufungisha ndoa za mashoga. Je kwa sababu hili la TZ lina ushirikiano wa karibu na hilo, huoni hatari watatulea roho ya ushoga. Hili nalo lifungwe?
 
Mimi naongelea in a technical aspect kwamba kuwe na machinery ya ku regulate policies ya haya makanisa, mind you they are not institutionalized the way other churches are. Siyo kama RC, Lutheran, Anglican, Sabatho etc wao mhuni mmoja akiamua kujiita akofu mkuu akawa anachukuwa hela zote sawa tu na wao wanazidi kumiminika tu. Na fanya research yako wengi wa waumini kwenye haya makanisa ni wanawake tena wake za watu.

Naomba usilete cheap analysis katika mambo ya msingi.

Sasa mkuu kuna hawa wanaoitwa Siloam ndio balaa kabisa!
 
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.

Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.

Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.

Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.

Mama atakwambia yeye anahangaikia ya mbinguni haya ya duniani hayana maana saana kwake, na atakwambia yuko tayari kufa kwa ajiri ya kumtetea Mungu. Pole sana kazi unayo. lkn kuna swala moja wanasema kuwa ikiwa mtu (mwanaume au mwanamke) ameamua kuokoka kuna kitu kibaya kina msuta ndani ya moyo wake. chunguza kuna kitu either maisha yameyumba, au alifiwa au anaumwa au anauguza, au katika nje ya ndoa na nk. Hata mi siwezi kumuruhusu kubadiri dini tofauti na lile ninalosali mimi baba mwenye nyumba, tatizo ni moja akina baba wengi hatwendi kanisani.
 
Naona wafuga majini wametamalaki kwenye hii thread.
 
Hata walutheri siku hizi tunaokoka, tunamkaribisha kwenye FARAGHA kila jumapili jioni na siku zote za katikati ya wiki! Yuko usharika gani tukampokee? Na usisahau kumkumbusha kuja kwenye mkesha kila jumapili ya mwisho wa mwezi kuanzia saa 1 jioni hadi 12 asubuhi!


Hiyoa FARAGHA mnafanyia wapi?
 
wengine wanamikataba yao na waganga,hivyo akienda kule,mambo yake yanaharibika.kama ni kweli,nawe uokoke na umpokee Yesu ktk maisha yako.
 
Akili za uswahilini bwana, hivi nyie wa 'jua kuzama kwenye tope' ni wa kusema kuhusu mama kuangalia watoto?!!!

Wanawake wenu wanashinda kwenye rusha-roho huko husemi. Vitoto vyenu vina tabia mbayaaaa saa ya kula sbbkamezoea kula kwenye hitima na misiba. Au muda unaotumika kujichora hina mwili mzima sio hoja, hoja ni mtu akiwa kanisani?

Achilia mbali kinamama, wababa watu wazimaa wanashinda msikitini wanacheza bao mchana kutwa, hao hamuwaoni?

Acha ushabiki wa kijinga, hebu nenda kawaone wale wamama pale kwa kakobe! Kuna dada yangu ni nesi kachoka kama kichaa! yani hata mshahara anapeleka mwingi kwa kakobe!
 
Acha ushabiki wa kijinga, hebu nenda kawaone wale wamama pale kwa kakobe! Kuna dada yangu ni nesi kachoka kama kichaa! yani hata mshahara anapeleka mwingi kwa kakobe!
Umemzungumzia dadaako anayepeleka mshahara kwa Kakobe, anayepelka kwa sangoma kwenye mnakoamini kuna mapepo mabaya na mazuri hujasema.

Mimi nimesema huyo mama ana matatizo ya kisaikolojia, full stop. Kanisa halina kosa, nyie nendeni mkasomeane albadili mgeuzane mbuzi
 
Umemzungumzia dadaako anayepeleka mshahara kwa Kakobe, anayepelka kwa sangoma kwenye mnakoamini kuna mapepo mabaya na mazuri hujasema.

Mimi nimesema huyo mama ana matatizo ya kisaikolojia, full stop. Kanisa halina kosa, nyie nendeni mkasomeane albadili mgeuzane mbuzi

We ni mmoja wao hao vichaa! mambo ya kugeuzana mbuzi yametoka wapi!
 
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.

Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.

Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.

Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Makanisa ya Kilokole ndio yapi hao?

Frustrations za maisha ndizo zinakufanya sasa umcontroll Mke wako? Help your wife with home activities, maana inaonekana wewe hufanyi chochote kwenye nyumba yake isipo kuwa Mkeo ndie anaye fanya kila kitu hapo kwako. Sasa Mkeo kawa Mume wa kupeleka hata watoto Hospitalini. How dare are you without shame saying such diabolical words to your wife and treat her like a slave?

Hivi hata kusafisha Nyumba yako lazima afanye Mkeo, Hivi nyie Wanaume wa Kibongo zimekamilika nyie? You must be a very dirty and filthy person. Ndio maana Mkeo anaona ni Bora akale Neno la Mungu than living with an absentee husband.
 
Mkuu usishangae wanawake kujazana kwa walokole,maana wanawake wengi ndio wenye mapepo.. Sasa wasipoenda tutapata wapi ushuhuda?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom