una MAPEPO
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Pale kwa Kakobe mpaka utawaonea huruma watoto maana mama anawashindisha na njaa watoto,au amewaacha Nyumbani bila uangalizi kisha mama anakesha kwenye maombiWakinamama wengi siku hizi wameshatekwa na haya MAOMBI, MAOMBI, MAOMBI ...anaacha kufanya shughuli zake, ikiwa ni pamoja na kumhudumia mumewe, anakimbilia kwenye MAOMBI ...hapa Arusha kuna hawa wanaoitwa RADIO SAFINA, wamewateka kabisa akina mama zetu, akina dada, hawasikii hawambiwi. Unawakuta wamebeba Chumvi/fruto wanaenda kwenye maombi radio safina.
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
pale kwa kakobe mpaka utawaonea huruma watoto maana mama anawashindisha na njaa watoto,au amewaacha nyumbani bila uangalizi kisha mama anakesha kwenye maombi
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Mkuu jana Stadium jini mahaba alikuwa anashughulikiwa......Wanawake walikuwa wengi kama utitiri.....
Huyo mke wako kasha kolea wa mchungaji ndio maana hata kitanda hatandiki anawahi dushelele,hamna ulilosema linahusiana na na kanisa kijana.
Pole sana kaka, huyo mke wako atakuwa kwenye kundi la watu wenye " hisia kali" kwa Mungu na sio " imani kali" kwa Mungu. Mtaani kweu kuna jamaa kakimbiwa na mke wake mlokole tangu mwezi desemba mwaka jana. Jamaa akimwambia mke wangu rudi, mwanamke anajibu " siwezi kurudi kwako mpaka mungu aniambie!"
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
ni kweli kabisa mkuu nakuunga mkono.maana makanisa ya kilokole si wajinga.kuna watu na heshima zao.ni mke wake tu anamatatizo na poor time mgtPoint noted hakuna anachokisema kinacho relate na kanisa la kilokole de problem is with ur wife's MInd wat is to be done ni kutibu ufahamu wake ajue kila jambo linawakati wake sio kanisa na hakuna kanisa linalofundisha mwanamke asitandike kitanda au amlee mwanao ipasavyo ila mkeo hajui kutoa vipau mbele and she is very poor on time management otherwise hata inawezekana haendi kanisani ana attend Vitaulo na vigodoro
una MAPEPO