Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

Status
Not open for further replies.
Daaah..!! Jaman huku kwetu segerea mwisho hatulali kabisa yaan wakianza kukesha na miziki yao kuanzia saa 4 usiku had saa 10 alfajir ndo wanamaliza.yan katika wiki tunapumzka siku 3 tu cku znazobaki zote wanapiga dansi zao. Wanaboa kwakwel mbona wakristo wenzao kama RC,LUTHERAN,ANGLIKANA hawapo hvyo.UHURU WA KUABUDU USIWE KERO KWA WENGINE.. Mmezid kwakwel.
 
Mimi naongelea in a technical aspect kwamba kuwe na machinery ya ku regulate policies ya haya makanisa, mind you they are not institutionalized the way other churches are. Siyo kama RC, Lutheran, Anglican, Sabatho etc wao mhuni mmoja akiamua kujiita akofu mkuu akawa anachukuwa hela zote sawa tu na wao wanazidi kumiminika tu. Na fanya research yako wengi wa waumini kwenye haya makanisa ni wanawake tena wake za watu.

Naomba usilete cheap analysis katika mambo ya msingi.

naona hua taarifa za kutosha, karudie kufanya utafiti

pili muulize vizuri mkeo Mungu gani anayemwambia asimtibu mwanao, asitandike kitanda wala kufanya usafi. Mungu mwenyewe kabla ya kuwatembelea waisraeli aliwataka kufanya usafi maeneo yote, aliwaagiza kuchimba shimo kujisaidia na kufukia kinyesi, kufua nguo na kuoga na kuhakikisha mazingira yote kuwa safi. nina shaka ameangukia katika makanisa ya wachungaji wa mshahara. hakuna kanisa la kilokole la namna hiyo. kaa na mkeo muulize vizuri akueleze anasali wapi lete taarifa kamili tukupashe habari.

hata Yesu alipokuja alisisitiza usafi ndio maana alifikia mahali akawaosha mikono na miguu wanafunzi wake, unajua hilo.Mungu wetu ni msafi na ni mwanamazingira wa kwanza. hakuna kiumbe yeyote aliyewahi kuipamba dunia na kuifanya kuwa safi kumpita Mungu
 
Ni sawa na mama mmoja pale ubungo Kibangu! Mtoto wake aligongwa na Gari Karibu miaka minane iliyopita pale Liverside! Sasa Huyu mama akaingia ktk Imani ya haya Makanisa akaambiwa mtoto wake hajafa Bali amechukuliwa msukule! Kwahiyo Huyo mama akawa anafanya maombi sn ili mtoto wake arudi huku akiwa anagombana na mme wake! Maana mme anaamini mtoto amekufa na mke ndio hivyo tena keshatekwa!

Basi akawa anaambiwa illi maombi yawe mazuri lazima atoe sadaka nzuri Yule mama alitoa m na nusu na akaambiwa akachukue mchanga Wa kwenye kaburi akae nao ndani huku akisali mtoto atatikea! Lkn mpk hivi Leo Hakuna cha mtoto kutokea Wala nini! Na hela zilishaliwa!
 
Nafikiri Serikali inge piga Marufuku Walevi na Ulevi:

Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"

Sahihi Muslim 3721'' Mtume wa Allah alikuwa anapenda kunywa Pombe kwa kutumia Bakuli ….''
 
Yawagalatia nawaachia wagalatia wenyewe!!!
Ya Walevi waachie walevi wenyewe....

Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"

Sahihi Muslim 3721'' Mtume wa Allah alikuwa anapenda kunywa Pombe kwa kutumia Bakuli ….''
 
Nafikiri Serikali inge piga Marufuku Walevi na Ulevi:

Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"

Sahihi Muslim 3721'' Mtume wa Allah alikuwa anapenda kunywa Pombe kwa kutumia Bakuli ….''
wewe una matatizo kichwani na hizo nukuu zako fake.tena ulivo kilaza hujui hata uzi ameanzisha mkiristo mwenzako lakini tayari umeshaanza kupaste ,nilishakuambia hakuna anaesomanga upuuzi wako,huwa tunascrol tu,sababu unapost vitu vya kutengeneza,unapoteza mda wako bure.
 
Sadaka wanalamba na wake zenu wanalambwa lol kweli majanga.
 
Jumamosi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta mjini Arusha, umeshuhudiwa umati wa wanawake ! walijaza uwanja woote na wengine kubakia nje.
Somo lilikuwa jini mahaba !
Jamaa kapiga sadaka zaidi ya milioni 70 !
Daaah.......walokole nouuma !



Ulikuwa kwenye kamati ya sadaka? It will take u a century kuichafua radio safina though myself sijawahi kufika huko.
Its better yasiyokuhusu ukawaachia wenyewe.
 
Nafikiri Serikali inge piga Marufuku Walevi na Ulevi:

Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"

Sahihi Muslim 3721'' Mtume wa Allah alikuwa anapenda kunywa Pombe kwa kutumia Bakuli ….''

Pumba express. Max boy.
 
mbona mnamshambulia huyo kaka kwa maneno makali wakati mwenzenu anahitaji msaada wa mawazo? nilivyomuelewa mimi ni kwamba amekwazika na mabadiliko ya mke wake, mke anaposhindwa kutimiza responsibilities zake ndani ya nyumba na kupeleka priorities zake kwingine lazma ilete tatizo kwenye ndoa na wanaume wengine ndo huamua kutafuta nyumba ndogo, kwahyo huyu kaka ameongea kwa hasira tu cha kufanya ni kumshauri ni jinsi gani ataweza kumfanya mkewe aweze ku balance mambo yake ya kanisani na nyumbani ili kuepusha mgogoro ndani ya nyumba, me mwenyewe nasali makanisa hayo hayo sidhani kama hata huyo Mungu atapokea dua za huyo dada ikiwa mumewe nyumbani ananung'unika kwasabababu ameshindwa kutimiza wajibu wake, ikumbukwe mwanamke -------- huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

Hakika nimekubali mchango wako.Hayo hukufunuliwa na akili zako bali Roho wa MUNGU aliyemo ndani mwako.
 
naona hua taarifa za kutosha, karudie kufanya utafiti

pili muulize vizuri mkeo Mungu gani anayemwambia asimtibu mwanao, asitandike kitanda wala kufanya usafi. Mungu mwenyewe kabla ya kuwatembelea waisraeli aliwataka kufanya usafi maeneo yote, aliwaagiza kuchimba shimo kujisaidia na kufukia kinyesi, kufua nguo na kuoga na kuhakikisha mazingira yote kuwa safi. nina shaka ameangukia katika makanisa ya wachungaji wa mshahara. hakuna kanisa la kilokole la namna hiyo. kaa na mkeo muulize vizuri akueleze anasali wapi lete taarifa kamili tukupashe habari.

hata Yesu alipokuja alisisitiza usafi ndio maana alifikia mahali akawaosha mikono na miguu wanafunzi wake, unajua hilo.Mungu wetu ni msafi na ni mwanamazingira wa kwanza. hakuna kiumbe yeyote aliyewahi kuipamba dunia na kuifanya kuwa safi kumpita Mungu

Big up.
 
Tunahitaji ufalme wa Mungu uje kwetu.Huyo mama kwenda kwake kanisani tunatarajia kuuakisi utukufu wa Mungu kuanzia kwenye familia,mtaani,kanisani na popote ili jina la Mungu wake lisitukanwe bali litukuzwe.
Msaidie mkeo,mwelimishe,muombee atapata macho ya rohoni kwani hayuko mbali na njia.Wapo wanaolia fikilia angekuwa anakesha baa,disco au kwenye uzinzi?MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom