Kumamae zako,
mjinga wewe,
unaona raha tu kutukana dini za watu?
Shenz taipu!
Sio siri ulokole umeshavunja ndoa nyingi hapa nchini. Hapo waanzilishi wa haya makanisa watasema wanajenga au wanabomoa? Wawe wanaweka na semina za ndoa na malezi sio kufukuza pepo tu.
Sitak club,ila kinachonishangaza ile ni nyumba ya ibada kwann kuwe na muzic na makelele km vile,kwan umeambiwa mungu ni kiziw???wanatusmbua
kaka mziki unaruhusiwa mfalme daudi alicheza mziki na kinubi hata mfalme suleman,
kaka mziki unaruhusiwa mfalme daudi alicheza mziki na kinubi hata mfalme suleman,
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Lazima kuwe na chombo cha ku regulate operation ya makanisa ya kilokole. Mimi naona watu wakishaingia huku especially wanawake wanatekwa ufahamu kabisa.
Mimi kuanzia leo nimempiga marufuku mke wangu kwenda kwenye kanisa lake kama anataka kuendelea kuishi na mimi arudi kanisa la lutheran ambako tumefungia ndoa yetu takatifu.
Yani mke wangu amekuwa mjinga kabisa na haya makanisa muda wote ni kukimbilia kanisani tu, atafunga bishara yake haraka haraka ahakikikishe anakimbilia kanisani. Leo hii mtoto anaumwa lakini anamwacha hata kumpa dawa kisa eti anakwenda kanisani. Kuna mtu wa maana sana anakuja home kwa ajili ya mkutano wa kibishara lakini mama anaona akimbilie kanisani. Yani nyumba chafu, kitanda hakitandikwi kisa kanisa.
Nasema haya makanisa yakome yanapoteza wake zetu.
Yawagalatia nawaachia wagalatia wenyewe!!!
Ki msingi haya makanisa ni mazuli tena yanafa cz wanamwabudu MUNGU wa kweli. Shida ni mkeo hajajielewa na haplay part yake kama mkeo mi nakushauli jalibu kwenda kusali hapo siku 1 lzma umwone MUNGU akikubdilisha mkuu
kweli mkuu
Kumamae zako,
mjinga wewe,
unaona raha tu kutukana dini za watu?
Shenz taipu!
Hawa nao tuwaiteje?........duuh ! umetoka Mirembe boarding, sasa hivi wamekupangia Day !??
.......mbona tutakoma !
Kumbe ndivyo mnavyo wafanya wake zenu? Halafu mnawafunika na migauni myeusi. Hakika kuna njama ya chuki kwa kwenye dini yenu.Jumamosi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta mjini Arusha, umeshuhudiwa umati wa wanawake ! walijaza uwanja woote na wengine kubakia nje.
Somo lilikuwa jini mahaba !
Jamaa kapiga sadaka zaidi ya milioni 70 !
Daaah.......walokole nouuma !