Serikali iongeze umakini zaidi kwenye Idara ya Ujasusi

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema wa majukumu yenu!!

Najua code mshaipata
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi iki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema was majukumu yenu!!
Nchi iko salama kabisa kupitia wanavitengo mahiri Mwijaku, baba levo, juma lokole, Dotto magari na mr mwanya. Usione wachekeshaji tu wako kazini kuhakikisha usalama wetu.
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi iki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema was majukumu yenu!!
Maadui wa Tanzania ni viongozi wa Tanzania wenyewe, sio majasusi wa nje,
 
Idara iwe taasisi ya kikatiba,Kazi zake,Dhima yake ilindwe kikatiba..

Viongozi wake wawe na mamlaka kikatiba,Walindwe kikatiba..Teuzi zao zisitegemee utashi/mahaba/fikra/mihemuko/Visasi/Utii Kwa viongozi wa kisiasa..

Nadhani nidhamu,utendaji,umakini,Uzalendo utaongezeka..

We need a comprehensive entity with mandate and authority to protect the country in all crucial security affairs..Inawezekana
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema was majukumu yenu!!
Dah!..
 
Idara iwe taasisi ya kikatiba,Kazi zake,Dhima yake ilindwe kikatiba..

Viongozi wake wawe na mamlaka kikatiba,Walindwe kikatiba..Teuzi zao zisitegemee utashi/mahaba/fikra/mihemuko/Visasi/Utii Kwa viongozi wa kisiasa..

Nadhani nidhamu,utendaji,umakini,Uzalendo utaongezeka..

We need a comprehensive entity with mandate and authority to protect the country in all crucial security affairs..Inawezekana
Upo sahihi lakini kama bado hatuna katiba ndio useme wasilinde nchi?
 
usalama wa taifa huu wakupeleka madafu wakati wa futari?.
kipindi cha kibiti magaidi wanatengeneza vikundi walikuja kushituliwa na CIA UBALOZI WA MAREKANI wakati usalama na polisi wakidili na wapinzani.
soma story kwa buyombe telegram
 
Sema nini jombaa, hili unalolisema hapa ndiyo hofu ya kila taifa duniani yakiwemo mataifa makubwa kama Marekani na Uingereza, siyo TZ peke yake.

Hata uwe nani, dunia hii ya leo huwezi kuzuia kabisa kupenyezewa mamluki ndani ya mifumo ya nchi yako. Utofauti ni kwamba tunatofautiana viwango vya upenyaji wa mamluki.​
 
Hatari sana, watu wana mipango ya siku nyingi mbele sisi kila siku tunawaza uchaguzi.
Tumebaki kutishana kwenye magroup ya WhatsApp, mitandaoni tukisaidia watu na familia zao kula mema ya nchi sisi tukilemazwa na maisha ya kidimbwa na pale Juliana.
 
Back
Top Bottom