XX
Hivi zile Press Release ni barua zile, right?
Na hapo juu usiseme "barua rasmi ya kujiuzulu wasn't a public document bali BARUA ISN'T A PUBLIC DOC... IT'S OFFICE DOC
Na ndo maana ofisi husika ikipata barua ambayo content yake inapaswa kujulishwa kwa umma, kinachofanywa ni KUANDIKA NOTICE/TAARIFA kuujulisha umma na sio barua husika kuwekwa publicly kwa umma!!
Ukiwa kama Mwandishi mzoefu, hebu nielimishe...Mkuu Nguruvi3, kwa vile barua rasmi ya kujiuzulu was not a public document, bandiko hili ni la Hypothetical situation only kwamba barua ni authentic bonafide genuine, ila ile Press ya JYN ndio ilikosewa, CCM ikakosea kusema imepokea barua badala ya kupokea copy na Bunge likasema imepokea copy kutoka CCM badala ya barua kutoka kwa Spika, kwa vile mahakama inafanya kazi na document iliyowasilishwa mezani, then document ya kujiuzulu uspika iliyowasilishwa mezani ndio document halisi, an authentic copy of the original, bonafide genuine.
P
Hivi zile Press Release ni barua zile, right?
Na hapo juu usiseme "barua rasmi ya kujiuzulu wasn't a public document bali BARUA ISN'T A PUBLIC DOC... IT'S OFFICE DOC
Na ndo maana ofisi husika ikipata barua ambayo content yake inapaswa kujulishwa kwa umma, kinachofanywa ni KUANDIKA NOTICE/TAARIFA kuujulisha umma na sio barua husika kuwekwa publicly kwa umma!!