Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,602
- Thread starter
- #41
Hapana, ile sio barua ya kughushi, kama mwandishi ni wewe, ukiandika mwanzo, ukakosea, uka withdraw na kupeleka barua sahihi, sio kughushi, hoja za kisheria kuhusu barua ile nimeizungumza kupitia kitu kinachoitwa, halali, batili na batilifu. Je, wajua haramu isipoharimishwa inageuka halali? Na batili isipobatilishwa inageuka halali. Je, tuhalalishe ubatili huu kwa mhimili wetu wa Bunge?Barua ya marekebisho bila Shaka iliandikwa baada ya wiki 2 kupita, lakini tarehe ikawa hiyo hiyo 6 January! Kwa maana hiyo, hiyo ni barua ya kughushi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Barua ya kwanza ilikuwa batilifu, kwenye ubatilifu ubatilifu ukiondolewa inakuwa halali bila kughushi chochote!.
P