MoureenAbel
Member
- Sep 24, 2021
- 29
- 43
Kupanda kwa bei ya mafuta kuna athiri kwa ujumla maisha ya wananchi, kwa sababu kunapelekea kupanda kwa gharama za vitu vingine. Lakini licha ya kuwa inaonekana bei ya amefuta imepanda, kwa namna nyingine unaweza kusema bei imeshuka.
Imeshuka kwa sababu serikali imeondoa ada ya mafuta ya TZS 100 kwenye kila lita moja ya petroli na dizeli. Hii ina maana kwamba, katika eneo ulilopo, kama bei ukomo ya juu ya petroli ni 2510, kama serikali isingetoa ada hiyo ingekuwa 2610. Kama dizeli ni 2332, kama ada isingetolewa ingekuwa 2432.
Kwa hiyo sawa, tunakubali bei imepanda, lakini walau serikali imeonesha jitihada ya kupunguza makali kwa sababu soko la dunia ndilo linaamua bei ya mafuta.
Imeshuka kwa sababu serikali imeondoa ada ya mafuta ya TZS 100 kwenye kila lita moja ya petroli na dizeli. Hii ina maana kwamba, katika eneo ulilopo, kama bei ukomo ya juu ya petroli ni 2510, kama serikali isingetoa ada hiyo ingekuwa 2610. Kama dizeli ni 2332, kama ada isingetolewa ingekuwa 2432.
Kwa hiyo sawa, tunakubali bei imepanda, lakini walau serikali imeonesha jitihada ya kupunguza makali kwa sababu soko la dunia ndilo linaamua bei ya mafuta.