simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,764
- 9,680
Itatumika pia kutengeza passport ya muheshimiwa. Si unajau tena kubana matumizi.Kuna mtu anafahamu kwanini background ni blue?
Itatumika pia kutengeza passport ya muheshimiwa. Si unajau tena kubana matumizi.Kuna mtu anafahamu kwanini background ni blue?
Magufuli anapenda sana nyimbo za Mr. BlueKuna mtu anafahamu kwanini background ni blue?
Watu watakuwa wanagwaya hicho kivuli.Ukiingia kwa ofisi asubuhi ukiiona tu.Lazima upige ishara ya msalaba
Mbona ni mbaya kuliko ile ya kwanza?
Anafanana na hayati Laurent Kabila!
Ulitaka apake mekap? Au lipshine kama bongo movie? Hujui uzurti au ubaya wa mtu upo wapi!Mbona ni mbaya kuliko ile ya kwanza?
Anafanana na hayati Laurent Kabila!
Aisee simjui...ila nae mmmmhHuyo mama ni nan?
Moja ya rangi za CDM!Kuna mtu anafahamu kwanini background ni blue?
Haya ndo yaliyotuponza waTZ kwa JK..ooh handsome ooh photogenic..kuja kushtuka kumekucha na usiku mzima tumelala hatujaskia mwizi alivyobeba kitanda tulicholalia wenyeweJamaa sio photogenic
naomba kuuliza hivi hata katika zile OFISI zote za Lowassa na yeye pia ATAZIWEKA au? manake nimesikia kuwa kuwekwa kwa hizo picha za Marais waliopo MADARAKANI ni LAZIMA na siyo HIARI. kuna mtu nina UHAKIKA hizo picha ZITAMUUMIZA mno na si ajabu kila akiwa anaiona tu basi anamwita Daktari wake aje amtibu. halafu huko kung'aa sana kwa mdomo kwa huyo Dada hapo aliyeishika hiyo picha ni JASHO la MDOMONI limezidi au ndiyo LIPUSTIKI hiyo?