Serikali imetoa Picha rasmi ya Rais Dr. Magufuli

Serikali imetoa Picha rasmi ya Rais Dr. Magufuli

Yaani Magufuli wanamuogopa hadi wameshindwa kumwambia hiyo Afrika imepinda ili airekebishe

nadhani kupinda kwa hiyo kitu ya Afrika inaakisi vile vile uwezo wetu wa upeo Waafrika jinsi ulivyopinda na wenyewe au? kama nchi nyingi za Afrika zila RASILIMALI za kutosha tena zingine zinazishinda hadi nchi nyingi na kubwa za ULAYA lakini bado kila kukicha TUNAWATEMBEZEA bakuli kuwaomba MISAADA je huko siko KUPINDA kwa AKILI zetu sisi WAAFRIKA?
 
Jamaa sio photogenic

huyo aliyekuwa " photogenic " hadi wake na mademu zenu wakawa WANAMSIFU ameiacha nchi wapi? kwa post yako hii taratibu naanza sasa kumwelewa yule MTIA NIA ya kugombea Urais nchini Marekani Trauman kuhusu WAAFRIKA. kumbe Wazungu huwa HAWAKOSEI wanavyotucheka kwa kuwa na UPEO haba. mtu mzima dunia ya leo kabisa ambayo inakimbia unaanza kumchambua Rais wako kama ana mwonekano mzuri au hapana badala ya kuangalia UTENDAJI wake wa KAZI ambao ndiyo muhimu kwa MAENDELEO ya nchi yetu. kauli zenu zingine zitatufanya tuwahisi kivingine hasa kama wewe uliyeleta " ushuzi " huu ni Mwanaume mwenzangu.
 
mbona anaangalia kama anavizia? yaani alijiandaa kupiga picha mpaka akaharibu
 
Kumbe ni mradi!
Kwa nini wasiupload file kwenye website ya Ikulu kisha watu wote wadownload na kuprint kwa ghalama zao.
 
huyo aliyekuwa " photogenic " hadi wake na mademu zenu wakawa WANAMSIFU ameiacha nchi wapi? kwa post yako hii taratibu naanza sasa kumwelewa yule MTIA NIA ya kugombea Urais nchini Marekani Trauman kuhusu WAAFRIKA. kumbe Wazungu huwa HAWAKOSEI wanavyotucheka kwa kuwa na UPEO haba. mtu mzima dunia ya leo kabisa ambayo inakimbia unaanza kumchambua Rais wako kama ana mwonekano mzuri au hapana badala ya kuangalia UTENDAJI wake wa KAZI ambao ndiyo muhimu kwa MAENDELEO ya nchi yetu. kauli zenu zingine zitatufanya tuwahisi kivingine hasa kama wewe uliyeleta " ushuzi " huu ni Mwanaume mwenzangu.

#CutTheCrap
 
Kweli sisi ni nchi za dunia ya tatu! Tunalazimishwa kununua picha ya mtu na kutishwa kama hatukununua, kwa fedha zetu! How do I like this!
 
Nahitaji picha 3. Moja itakaa sebuleni,moja itakaa dinning na ya tatu itakaa chumbani kwangu. Ili kila ninapomuona Mh Rais nikumbuke majukumu yangu na kuwa MZALENDO,pia nichukie Rushwa...uzembe na unyonyaji.
 
Mbona ni mbaya kuliko ile ya kwanza?
Anafanana na hayati Laurent Kabila!
wewe umepewa taarifa kuwa picha ya Mheshimiwa Rais imetoka,hujaambiwa useme ni nzuri au mbaya kwa kuwa wapo wenye kazi hiyo ya kuona ni nzuri au mbaya,hata basi ukiamua kukosoa jambo lisilokuhusu fanya hivyo kwa nidhamu kwa sababu hata mwenyezi mungu ametuelekeza kuheshimu mamlaka.Hayo maneno yako ya mwisho hayakuwa na ulazima.
 
naomba kuuliza hivi hata katika zile OFISI zote za Lowassa na yeye pia ATAZIWEKA au? manake nimesikia kuwa kuwekwa kwa hizo picha za Marais waliopo MADARAKANI ni LAZIMA na siyo HIARI. kuna mtu nina UHAKIKA hizo picha ZITAMUUMIZA mno na si ajabu kila akiwa anaiona tu basi anamwita Daktari wake aje amtibu.
Mkuu hata mimi nimejiuliza sana hii kitu majibu nimekosa.
 
naomba kuuliza hivi hata katika zile OFISI zote za Lowassa na yeye pia ATAZIWEKA au? manake nimesikia kuwa kuwekwa kwa hizo picha za Marais waliopo MADARAKANI ni LAZIMA na siyo HIARI. kuna mtu nina UHAKIKA hizo picha ZITAMUUMIZA mno na si ajabu kila akiwa anaiona tu basi anamwita Daktari wake aje amtibu.
 
DSC_0001.jpg


Picha Rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli itaanza kuuzwa Januari 08, 2015, katika Ofisi za Idara ya Habari (MAELEZO) Mtaa wa Samora.

Kila nakala ya picha hiyo itauzwa shilingi Elfu Kumi na Tano tu bila fremu. Picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere itauzwa shilingi Elfu Tano tu. Aidha, Picha hizo zitauzwa katika Ofisi za Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA).

Picha hizo zinatakiwa kutundikwa katika ofisi zote za Serikali, Taasisi za Umma, Mashirika na Ofisi binafsi. Kila ofisi inatakiwa iwe na picha ya Mhe. Rais pamoja na Baba wa Taifa.

Serikali inatoa onyo kwa wale wote wanaosambaza picha isiyo rasmi pamoja na Serikali kutoa taarifa kusitisha matumizi ya picha hiyo na wanaotengeneza picha ukubwa ambao siyo rasmi.

Hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Idara ya Habari(MAELEZO) ndio yenye Haki miliki ya picha hiyo.
picha ya huyo mdada ni nzuri!!!!
 
Nahitaji picha 3. Moja itakaa sebuleni,moja itakaa dinning na ya tatu itakaa chumbani kwangu. Ili kila ninapomuona Mh Rais nikumbuke majukumu yangu na kuwa MZALENDO,pia nichukie Rushwa...uzembe na unyonyaji.
Safi sana
 
Lazima utakuwa hujipendi, na si ajabu utaswma atanifanya nini

(Lakini kwa tahadhali hii najua hutafanya hivyo, na usifanye hivyo)
 
Back
Top Bottom