Niliacha kuamini yanayosemwa na serikali hii long time ago. Naangalia tu yanayotendwa.
Halafu Warioba bado ana usafiri mwingine wa serikali kama Waziri Mkuu mstaafu.
Na CDM nao wanataka kununua magar zaidi ya 100 brand new kuzunguka nchi nzima. Sample za magar yenyewe yote yana CC zaidi ya 3000, meaning hata consumption ya mafuta na general maintainence inakuwa juu.
Hawa wapinzani nilifikiri wangeonyesha njia kwa chama tawala, but nao wameenda mle mle! Hamna wa kumnyooshea kidole mwenzake.
Ni aina gani?Na CDM nao wanataka kununua magar zaidi ya 100 brand new kuzunguka nchi nzima. Sample za magar yenyewe yote yana CC zaidi ya 3000, meaning hata consumption ya mafuta na general maintainence inakuwa juu.
Hawa wapinzani nilifikiri wangeonyesha njia kwa chama tawala, but nao wameenda mle mle! Hamna wa kumnyooshea kidole mwenzake.
Matatizo ya wananchi utayajua kwa kukaa ofisini? Ndio maana CDM haijengi ofisi kwasababu haina muda wa kukaa humo Kama nyinyi magambaNa CDM nao wanataka kununua magar zaidi ya 100 brand new kuzunguka nchi nzima. Sample za magar yenyewe yote yana CC zaidi ya 3000, meaning hata consumption ya mafuta na general maintainence inakuwa juu.
Hawa wapinzani nilifikiri wangeonyesha njia kwa chama tawala, but nao wameenda mle mle! Hamna wa kumnyooshea kidole mwenzake.
Na CDM nao wanataka kununua magar zaidi ya 100 brand new kuzunguka nchi nzima. Sample za magar yenyewe yote yana CC zaidi ya 3000, meaning hata consumption ya mafuta na general maintainence inakuwa juu.
Hawa wapinzani nilifikiri wangeonyesha njia kwa chama tawala, but nao wameenda mle mle! Hamna wa kumnyooshea kidole mwenzake.
Na CDM nao wanataka kununua magar zaidi ya 100 brand new kuzunguka nchi nzima. Sample za magar yenyewe yote yana CC zaidi ya 3000, meaning hata consumption ya mafuta na general maintainence inakuwa juu.
Hawa wapinzani nilifikiri wangeonyesha njia kwa chama tawala, but nao wameenda mle mle! Hamna wa kumnyooshea kidole mwenzake.
Mlitaka watumie baiskeli kwenye safari zao?
Badala ya kukemea haya madudu ya magamba ambayo yameshatendeka unakuja na usanii ambao huna ushahidi wowote ule wa kuthibitisha kile ulichoandika...ali mradi tu uwanyooshee kidole CHADEMA badala ya magamba!!!!