Nchi wahisani wako very much concerned kuhusu exta vagant spending za serikali kwa bidhaa za anasa, vitafunwa, na posho lukuki.
Uingereza ndie biggest contributor wa General Budget Support kwa kutoa 60% na nchi nyingine kujazia hiyo 40 %!. Nilipopata fursa kumuona Mama Balozi, Diane Corner, nilimuuliza kama ni kweli mna uchungu na government spending na jinsi wanavyotapanya fedha za wahisani, kwa nini wanaendelea kuongeza mwaka hadi mwaka huku tukizidi kuzitapanya, alipiga chenga na kudai they are just generous!.
Kwenye uchaguzi mkuu wakatoa bilions, wakati huo idara ya mpiga chapa mkuu ilikuwa na uwezo wa kuchapisha karatasi za sensa, kufuatia "he who pays the piper may call the tune" Tenda ya kuchapisha karatasi za kura ilitokewa kwa Kalamoo, ni kampuni ya Uingereza, vifaa vyote vya uchaguzi ni imported from UK!, zile fedha za msaada zimerudi zilikotoka!.
Mpaka kesho Uingereza ndie biggest donor wetu na sasa ndie anaeongoza kwa DFI kwa Tanzania kupitia BG kwenye uchimbaji gesi asilia kule Mtwara, hivyo maadam serikali ya Tanzania wanapenda pipi za mashangingi, waacheni walambe utamu wa pipi na sisi tupate kilicho chetu!.
Pinda ni very genuine kwenye kupunguza matumizi ya anasa, wenzake hawataki na chini ya collective resiponsibilities, amejinyamazia!. Pinda alitaka kumwajibisha Jairo, mwenyewe akataa!. Pinda baada ya kumsimamisha Mama Nyoni na Dr. Mtasiwa, alimshauri Waziri na naibu wapigwe chini, mwenyewe alikataa, sasa mnataka afanye nini?.
Kwenye expenditure ya starehe mmeyaona mashangingi tuu?. Hamjanote fleet ya SUV za state house sasa ni BMW x5 na sio Toyota tena?!. Hamjanote zile pikipiki za kumpamba Amiri Jeshi Mkuu pale uwanja wa Taifa siku hizi ni BMW 1.100 cc kila moja ikiuzwa kwa milioni 35 badala ya zile Honda CB 750 cc ambazo zilikuwa ni milioni 15 tuu!.
Zamani computers za serikali ni Dell za wastani wa milioni 2, sasa ni Mac Books na ma I-Mac milioni 5 each!.
Hii ndio Tanzania yetu ya kisasa, kila waziri siku hizi ni mwendo wa I pad na simu ya I- phone 4gs au Samsung Galaxy Tub!.