Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,887
- Thread starter
- #61
Wanajeshi huwa wanafanya route match, hawatumii njia zilizo busy. Wakitoka Kunduchi wanapiga maboda hadi BagamoyoJe usha wai kukutana na Wanajeshi nao wakiwa wanafanya mazowezi yao barabarani!? Au una muataki Kitenge tu!!??