Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Serikali, kupitia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye imetoa tamko juu ya matamko yanayotolewa na asasi mbalimbali kuhusu kukamatwa kwa Dr. Slaa, Wakili Mwabukusi, na Mdude.
Katika maelezo hayo imeeleza kuwa hakuna Mtanzania aliyekamatwa au atakuja kukamatwa Tanzania sababu ya kukosoa serikali katika jambo lolote lile ikiwemo hili la bandari linalovuma sasa.
Pia imeelezwa kuwa, kukamatwa kwa akina Dr. Slaa hakuminyi kwa vyovyote vile uhuru wa kujieleza Tanzania, ila ni katika kutekeleza sheria na kuzuia machafuko ambayo yanaweza kutokea baada ya wito wa uasi dhidi ya serikali iliyochaguliwa kidemokrasia.
Pia soma: Tamko la Serikali kuhusu Kukamatwa kwa Dkt. Slaa, Mdude, Wakili Mwabukusi
Katika maelezo hayo imeeleza kuwa hakuna Mtanzania aliyekamatwa au atakuja kukamatwa Tanzania sababu ya kukosoa serikali katika jambo lolote lile ikiwemo hili la bandari linalovuma sasa.
Pia imeelezwa kuwa, kukamatwa kwa akina Dr. Slaa hakuminyi kwa vyovyote vile uhuru wa kujieleza Tanzania, ila ni katika kutekeleza sheria na kuzuia machafuko ambayo yanaweza kutokea baada ya wito wa uasi dhidi ya serikali iliyochaguliwa kidemokrasia.
Pia soma: Tamko la Serikali kuhusu Kukamatwa kwa Dkt. Slaa, Mdude, Wakili Mwabukusi