Jukwaa la Katiba, Tume ya Haki za Binadamu na TLS watoa tamko kali kuachiwa mara moja akina Dkt. Slaa na Mwabukusi

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,152
20,326
Kwa pamoja Jukwa la Katiba Tanzania, Tume ya haki za Binadamu, Tanganyika Law society na Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania wametoa tamkonna kuitaka mamlaka za serikali kuwaachia huru watuhumiwa wa Uhaini Dr Wilbroad Peter Slaa, Wakili Mwabukusi na Mwanaharakati Mdude Nyangali.

Sehemu ya tamko hilo inasema walikamatwa kwa tuhuma za uchochezi na baadae kubadilishiwa tuhuma kuwa za uhaini kitu kinachoonesha kuwa wanabambikiwa kosa kwa mijibu wa sheria za Kimataifa za upelelezi.

Hata hivyo wao kwa pamoja wanaamini kutoa maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania ni hako ya kila raia.

Wito wao kwa pamoja

1. Kuwaachia bila masharti kwa kuwa hawana hata dosari inayoonesha kosa la uhaini.

2. Wito kwa DCI ni kuwa imwachie mara moja Wakili Madeleka kwa kuwa wanaamini kukamatwa kwao kuna uhusiano na utoaji maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania.
3. Msisitizo umewekwa kuheshimu mapendekezo ya tume ya Haki Jinai ya Jaji Chande, kwa jeshi la polisi kutenda kwa weledi na kuepuka kubambikia keshi wananchi.
4. Wito kwa wanasiasa kuepuka kutoa matamko yanayochochea uvunjifu wa haki za binadamu.

Sikiliza mwenyewe hapa.

View: https://www.youtube.com/live/duzaiz4qjL4?feature=share
 
Kwa pamoja Jukwa la Katiba Tanzania, Tume ya haki za Binadamu, Tanganyika Law society na Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania wametoa tamkonna kuitaka mamlaka za serikali kuwaachia huru watuhumiwa wa Uhaini Dr Wilbroad Peter Slaa, Wakili Mwabukusi na Mwanaharakati Mdude Nyangali.

Sehemu ya tamko hilo inasema walikamatwa kwa tuhuma za uchochezi na baadae kubadilishiwa tuhuma kuwa za uhaini kitu kinachoonesha kuwa wanabambikiwa kosa kwa mijibu wa sheria za Kimataifa za upelelezi.

Hata hivyo wao kwa pamoja wanaamini kutoa maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania ni hako ya kila raia.

Wito wao kwa pamoja

1. Kuwaachia bila masharti kwa kuwa hawana hata dosari inayoonesha kosa la uhaini.

2. Wito kwa DCI ni kuwa imwachie mara moja Wakili Madeleka kwa kuwa wanaamini kukamatwa kwao kuna uhusiano na utoaji maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania.
3. Msisitizo umewekwa kuheshimu mapendekezo ya tume ya Haki Jinai ya Jaji Chande, kwa jeshi la polisi kutenda kwa weledi na kuepuka kubambikia keshi wananchi.
4. Wito kwa wanasiasa kuepuka kutoa matamko yanayochochea uvunjifu wa haki za binadamu.

Sikiliza mwenyewe hapa.

View: https://www.youtube.com/live/duzaiz4qjL4?feature=share

Tz sijui imekuaje. Tunashindwa kuwa huru kwa nchi yetu wenyewe
 
Jana Kabinti ka ludilo alihoji ukimya wa CDM katika kuwamobilize watanzania. Mimi niongee ukweli kina Dr Slaa wanaumizwa sana na ukimya wa wa Tanzania unao endelea na hata wakitoka nashauri tuu wakae kimya kwa maana hakuna mwamko wowote. CDM walipaswa sana kujua responsibility yao ni kubeba majukumu ya wa Tanzania muda kama huu ambao CCM wameshindwa. Hongera vyombo tajwa hapo juu pengine soon mnaweza kutuingiza bara barani
 
Kwa pamoja Jukwa la Katiba Tanzania, Tume ya haki za Binadamu, Tanganyika Law society na Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania wametoa tamkonna kuitaka mamlaka za serikali kuwaachia huru watuhumiwa wa Uhaini Dr Wilbroad Peter Slaa, Wakili Mwabukusi na Mwanaharakati Mdude Nyangali.

Sehemu ya tamko hilo inasema walikamatwa kwa tuhuma za uchochezi na baadae kubadilishiwa tuhuma kuwa za uhaini kitu kinachoonesha kuwa wanabambikiwa kosa kwa mijibu wa sheria za Kimataifa za upelelezi.

Hata hivyo wao kwa pamoja wanaamini kutoa maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania ni hako ya kila raia.

Wito wao kwa pamoja

1. Kuwaachia bila masharti kwa kuwa hawana hata dosari inayoonesha kosa la uhaini.

2. Wito kwa DCI ni kuwa imwachie mara moja Wakili Madeleka kwa kuwa wanaamini kukamatwa kwao kuna uhusiano na utoaji maoni kuhusu mkataba wa DPW na Tanzania.
3. Msisitizo umewekwa kuheshimu mapendekezo ya tume ya Haki Jinai ya Jaji Chande, kwa jeshi la polisi kutenda kwa weledi na kuepuka kubambikia keshi wananchi.
4. Wito kwa wanasiasa kuepuka kutoa matamko yanayochochea uvunjifu wa haki za binadamu.

Sikiliza mwenyewe hapa.

View: https://www.youtube.com/live/duzaiz4qjL4?feature=share

Huyu pimbi aliamrisha huo upumbavu wa kukamata hao wazalendo atajuta sana mbwa huyo
 
Jana Kabinti ka ludilo alihoji ukimya wa CDM katika kuwamobilize watanzania. Mimi niongee ukweli kina Dr Slaa wanaumizwa sana na ukimya wa wa Tanzania unao endelea na hata wakitoka nashauri tuu wakae kimya kwa maana hakuna mwamko wowote. CDM walipaswa sana kujua responsibility yao ni kubeba majukumu ya wa Tanzania muda kama huu ambao CCM wameshindwa. Hongera vyombo tajwa hapo juu pengine soon mnaweza kutuingiza bara barani
CDM wajibu wao uko palepale siku zote hawajawahi kukaa kimya kwa udhalili wowote.
 
4R ni nini?

..Reform.

..Reconciliation.

..Resilience.

..nimesahau R nyingine inahusu nini.

..Rais Samia anadai "4R" ndio falsafa au dira yake ya uongozi ya awamu ya 6.

..binafsi sina uhakika kama Samia Suluhu anaamini hivyo.

..nadhani anatupiga bla bla. Yuko bwana mmoja alisema " bra bra. "
 
..Reform.

..Reconciliation.

..Resilience.

..nimesahau R nyingine inahusu nini.

..Rais Samia anadai "4R" ndio falsafa au dira yake ya uongozi ya awamu ya 6.

..binafsi sina uhakika kama Samia Suluhu anaamini hivyo.

..nadhani anatupiga bla bla. Yuko bwana mmoja alisema " bra bra. "
Ngoja tuone. Maneno vs matendo
 
Back
Top Bottom