Serikali haitaki kuniandika kwenye BVR?

Serikali haitaki kuniandika kwenye BVR?

Wewe pia itakuwa ni mhamiaji haramu. Unajuwa Tanzania tunadhani tunazaana sana kumbe wahamiaji haramu kibao kwa kuwa kuna neema nchi hii na tumezungukwa na ma nchi yenye dhiki kibao.

Tanzania hii ikifanyika hasa ukaguzi wa vizazi viwili tu nyuma, wengi itabidi mrudi makwenu.

Faiza foxy utakuwa unaanza kuugua uchizi si bure
 
Samahani sana kiongozi, siwezi fanya huo ujinga. Kwa kipi kunilaza nje siku 4.

Mkuu mbali na usumbufu woote unaoupata na bado siku ya kura utasumbuka pia hata masaa 12 naomba kura yako uwape ccm mafiga matatu mkuu urais diwani na mbunge FaizaFoxy acha matusi njoo tutafute kura huku maana muda umetaradadi
 
Last edited by a moderator:
Hivi hakuna uwezekano wa kwenda mahakamani kusimamisha huu uhuni unaofanywa na hii tume kwa kunyima watu fursa ya kujiandikisha?
 
kwenye BVR ukikuta watu 70 mbele yako jua hiyo siku hautaandikishwa hata kama ni asubuhi. tumia hesabu kuwa. kwa wastani BVR inaandikisha watu 7 kwa saa. kama mwandikishaji ana speed zaidi ya hiyo piga hesabu, wapo waandikishaji wanaandikisha kwa wastani wa watu 10 kwa fakika 40. lakini hii ni speed kibwa sana na pengine hautaiona kirahisi .
 
Faiza foxy utakuwa unaanza kuugua uchizi si bure

Audhu bi Llahi min dhalika.

Hasbunna Allahu wa nee'ma L'wakil.

Nnajuwa muono wako ni finyu na nnayoyaandika ni zaidi kimo chako lazima ufikirie hivyo. Muono wako ukikuwa, kama utakuwa, utakuja kunielewa tu.
 
wewe mdini kweli,kuelewa mada hapana unakimbilia ushabiki

Siku hizi hata siwashangai, nnajuwa mkikosa majibu ya hoja mnakuja na ngao "mdini" na "udini". Nioneshe huo 'udini" uko wapi? ukishindwa kuonesha jipange tena uje na hoja na si kukimbilia kujificha kwenye kivuli changu.
 
FF, kumwita mwenzio mhamiaji haramu unaona ni sawa, uko wapi utu uzima wako na ukomavu wa kuwa mtandaoni kwa muda mrefu na ukapewa sifa ya kuwa JF Senior Expert Member.

Tofauti ya kimtizamo, ukada,dini, jinsia n.k isitutoe ufahamu na kupost unachojisikia.

Wewe unachobisha ni nini haswa? Tanzania hii imejaa wahamiaji haramu kila sehemu. Sasa wewe mtu mpaka mashine inamkataa unafanya maskhara?
 
Njoo ujiandikishe luchelele hapa watu wengi wa mkolani wamefika na kazi inaenda vizuri
Nimefika hapa saa 3 na saa tisa nimepata kitambulisho
 
Mkuu mbali na usumbufu woote unaoupata na bado siku ya kura utasumbuka pia hata masaa 12 naomba kura yako uwape ccm mafiga matatu mkuu urais diwani na mbunge FaizaFoxy acha matusi njoo tutafute kura huku maana muda umetaradadi

Kura zetu kibindoni, tayari, wala hatuna wasi wasi, wakati ukiffika tunatafuta za ziada tu. Hujaona Kalenga, Chalinze, Kata tatu chopa tatu, serikali za mitaa?

Fikiri.
 
1.Jiandikishe
2.Piga kura
3.Linda kura Yako
Cc
@FF
 
nasubiri waje dar nione uhuni wao wataufanya vipi

masai dada kwa dar hawawezi fanya uhuni maana mashine zote zitatumika kwa dar maana watakuwa wamemaliza mikoa yote ndio maana utaona uandikishwaji kwa mkoa wa dar es salaam umepewa siku chache kulinganisha na mikoa mingine ilihali una population kubwa ya watu
 
Last edited by a moderator:
Hizo. Mashine ni za aina gani?

Sisi huku mashine moja inauwezo wa kuandikisha watu 130-160 kwa siku..!! Ninyi mashine moja itaandikaje watu Arobaini? Tafuteni wasimamizi wa vituo vyenu waelezeni juu ya jambo hili. Kuna hujuma ya waandishi hapo, haiwezekani hata kidogo kwa mashine moja kuandikisha watu 40 au 50 hata kama mashine hiyo ni Made in Tanzania..!!!

BACK TANGANYIKA
 
Una mdomo mchafu kama mdomo wa nguruwe
Sasa wazazi wangu wanaingiaje humu wewe?

Nimerudisha lile lile domo chafu ulilokuja nalo kwangu, limekuuma? Kama wewe una wazazi wako basi ujuwe na sisi ni wazazi wa wengine.

Imekuuma?

Ukini beep mimi napiga. Kumbuka hilo.
 
Komaa mpaka uandikishwe mkuu,wakizingua kinukishe,mie katani kwangu ni tarehe 25 nawangoja kwa hamu sana.
 
Mashine zimetengenezwa ili ziamriwe nasi. Sio zenyewe zituamrishe na kutupangia muda wa kuzitumia. They are programmed devices. We are the programmers.

Kwanini mashine izime? Kwanini tukubaliane na hili? There is ALWAYS a solution or an explanation to technical problems of this stature. Hiyo tech team ipo kwa kazi gani kama troubleshooting hawawezi kufanya? Tumebaka mfumo ambao hatukuwa tayari kuutumia?

Mimi naona ni uzembe na irresponsibility. Labda na hujuma. But the former I am sure of.
 
Pole sana nakuhurumia unavyoteseka kujenga daraja kwa ajili ya wanasiasa kushika madaraka na kukuibia rasilimali zako.
 
Nimerudisha lile lile domo chafu ulilokuja nalo kwangu, limekuuma? Kama wewe una wazazi wako basi ujuwe na sisi ni wazazi wa wengine.

Imekuuma?

Ukini beep mimi napiga. Kumbuka hilo.

Huna tofauti na mdomo wa nguruwe
 
ufanisi huu mbovu wa uandikishaji unawanufaisha vipi CCM? maana wengi wao wanatetea uhuni huu. naomba mwenye kuelewa anisaidie. kwanini wengi wao CCM ama hawalalamiki au wanatetea upuuzi huu
 
Huna tofauti na mdomo wa nguruwe

Wala hujakosea, si ulianza> sasa nguruwe nani hapo?

Unaonesha unawajuwa sana nguruwe, mnafuga wa biashara au kitoweo?

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Back
Top Bottom