mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,135
- 276
Wewe pia itakuwa ni mhamiaji haramu. Unajuwa Tanzania tunadhani tunazaana sana kumbe wahamiaji haramu kibao kwa kuwa kuna neema nchi hii na tumezungukwa na ma nchi yenye dhiki kibao.
Tanzania hii ikifanyika hasa ukaguzi wa vizazi viwili tu nyuma, wengi itabidi mrudi makwenu.
Faiza foxy utakuwa unaanza kuugua uchizi si bure