GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kwanza, ninaipongeza kwa kumteua Mkurugenzi wa JF, Maxence Mello kuwa mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Naamini hawajakosea kumteua mtajwa.
Lakini inafahamu kuwa kuna vichwa vingine kibao, tena wanaotumia verified Id hivyo si kazi kuwapata, ambao wangeweza kuwa na mchango mkubwa katika nchi endapo wangepewa nafasi Serikalini?
Nitawataja alau wawili, wengine watatajwa na wana JF wengine.
Lakini inafahamu kuwa kuna vichwa vingine kibao, tena wanaotumia verified Id hivyo si kazi kuwapata, ambao wangeweza kuwa na mchango mkubwa katika nchi endapo wangepewa nafasi Serikalini?
Nitawataja alau wawili, wengine watatajwa na wana JF wengine.