Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,263
Elimu ya sasa imewaacha vijana wengi kutojituma kimasomo, hawana uchungu kabisa kupambania viwango vyao darasani na hili ni tokeo la Elimu bure, Na ndio Maana shule binafsi bado zinaongoza kufaulisha wanafunzi kila iitwapo leo.
Hoja muhimu Hawa wanafunzi hawaoni uchungu kabisa Ela inayotolewa na serikali kuwasomesha, kama mdau nashauri kuwepo na kiwango kutoka kwa Wazazi kuchangia gharama za Elimu na hii itampa hali ya kupambania jasho la mzazi kwa kusoma kwa Bidii.
Nakaribisha maoni, mitazamo, ushauri, sera
Hoja muhimu Hawa wanafunzi hawaoni uchungu kabisa Ela inayotolewa na serikali kuwasomesha, kama mdau nashauri kuwepo na kiwango kutoka kwa Wazazi kuchangia gharama za Elimu na hii itampa hali ya kupambania jasho la mzazi kwa kusoma kwa Bidii.
Nakaribisha maoni, mitazamo, ushauri, sera