- Thread starter
- #41
Kiasi itasaidia maana huko baraza la kata issue inaweza ikawa mgogoro wa ardhi, namba ya shauri ikawa ya jinai
[ICODE][ISPOILER][/ISPOILER]
[/ICODE]Kiasi itasaidia maana huko baraza la kata issue inaweza ikawa mgogoro wa ardhi, namba ya shauri ikawa ya jinai
[ICODE][ISPOILER][/ISPOILER]
[/ICODE]Huwa hawajali hiloNi kweli bora zifutwe hazina faida yoyote zaidi ya kuongeza manyanyaso kwa wananchi
Kuna anko wangu ameporwa nyumba yake na kibaya zaidi alikuwa anaishi humo akatolewa kwa nguvu kesi ipo mahakama ya ardhi kwanza ilipangwa November mwanzoni imepigwa karenda hadi February bila ya kujiuliza miezi yote hiyo huyu mtu anaishije
MmhCoz ardhi ni mali