Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,305
- 33,765
Mkandara ,
Naomba niweke kumbu kumbu sawa kwa faida ya wanajamvi.
1. Wewe umesimamia S2 siku zote ukisema hakuna sababu ya kurudisha serikali ya Tanganyika
a) Itua uzalendo wa nchi
b) Italeta mgawanyiko miongoni mwa Watanzania
c) Mambo yote yawe ya muungano chini ya Tanzania lakini znz ibaki kama ilivyo. (Si chini ya Tanganyika)
2. Upo katika rekodi ukisema kuzinduka kwa Tanganyika kutaongeza gharama. Hapa uliamini uwepo wa Tanzania muungano
3. Kwamba, Tanganyika imevaa koti la muungano na kuwanyima wznz misaada na mikopo.
Kwa maneno yako ya bandiko hapo juu, una maana Tanganyika inakopa na kuwanyima wznz misaada na mikopo yao.
4. Umeeleza kuwa, znz inaweza kuchangia muungano kama itapewa kipaumbele cha bandari na biashara n.k.
Kwa maneno yako ya juu, una maana ZNZ inaweza kuwachangia Watanganyika!!!!
5. Hakuna taifa la Tanganyika, ukiungana na Shivji katika hilo.
Leo unasema taifa ulilosema halipo, ndilo lililopo.
Mifano ni zaidi ya 10 ikionyesha jinsi unavyobailika na kubadilisha position yako kila alfajiri na magharibi.
Nadhani ni ngumu kwangu na wengine kukuelewa hasa unasimamia nini, unazungumza nini na una tetea nini.
Tunachokijua ni kubadili position na kama utahitajika ushahidi upo wa kutosha.
Tanganyika
Kusema kuwa Tanganyika ipo isiyokuwepo ni muungano, hilo ni tusi kubwa sana kwa Watanganyika.
Kwanza, nikukumbushe kuwa umeangalia mjadala kwabahati mbaya hukuelewa au umeelewa vibaya dhana zilizojadiliwa
Pili, unajaribu kupotosha umma kwa kucheza na maneno zaidi ya facts
Mfano, unapodai Tanganyika ipo, isiyokuwepo ni muungano, una maana madai ya wznz ni dhidi ya Watanganyika na si muungano.
Mfano, wznz wanadai asilimia 21 ya ajira za Tanganyika, wanagharamiwa mambo ya wizara nyeti kwa gharama za Mtanganyika n.k. Hili ni tusi kwa Watanganyika na linahimiza kuzinduka kwake
Mkandara, elewa kuwa kinachotakiwa hapa fiscal autonomy kwa Tanganyika.
Hiyo itapatikana Tanganyika ikiwa inatambulika rasimi na kuwa na mwongozo wake kama ilivyo znz.
Hatutaki kuwa na dude Tanzania ambalo znz inalitumia kumuumiza Mtanganyika.
Elewa dhana ya fiscal autonomy na identity.
Kuhusu tume, walichosema ni kuwa kwa hali ya S2 muungano sasa haupo.
Wazanzibar wameondoa mambo mengi, na tume wameona ni kujidanganya kama tuna Sumatra na Zanzibar Maritime.
Hapa uelewe znz ipo Tanzania ili kullipiwa ada kule IMO na wala si muungano.Kwa
Ni kwa msingi huo tume ikasema, kuendelea na muungano wa kujidanganya huku Tanganyika ikibeba mzigo na Wazanzibar wakiungana kwa jina si kutenda haki. Na ni kwa jina hilo hilo wznz wanawajibika kupitia ili kuweza kujikwamua kwa mambo yao.
Prof Kabudi aliposema Watanganyika wana yao mezani alimaanisha hili.
Gharama za S3
Huko nyuma ulisema JMT inabeba gharama za S2 na ni rahisi. Tulikuuliza mara nyingi kwani gharama hizo zinachangiwaje? Hukuwa na jibu. Leio unasema S3 zitakuwa na gharama ukisahau hukuweza kutueleza gharama za sasa analipia nani.
Hoja yangu hapa si kujibu hoja zako, ni kukutaka utueleze unasimamia nini ili tuweze kujadiliana vema.
Kwa sasa kila jibu litakuwa na position tofauti na hilo litakuwa gumu sana the least to say.
Hebu tueleze, wewe unadhani nini kifanyike katika mazingira unayoyasema.
Naomba niweke kumbu kumbu sawa kwa faida ya wanajamvi.
1. Wewe umesimamia S2 siku zote ukisema hakuna sababu ya kurudisha serikali ya Tanganyika
a) Itua uzalendo wa nchi
b) Italeta mgawanyiko miongoni mwa Watanzania
c) Mambo yote yawe ya muungano chini ya Tanzania lakini znz ibaki kama ilivyo. (Si chini ya Tanganyika)
2. Upo katika rekodi ukisema kuzinduka kwa Tanganyika kutaongeza gharama. Hapa uliamini uwepo wa Tanzania muungano
3. Kwamba, Tanganyika imevaa koti la muungano na kuwanyima wznz misaada na mikopo.
Kwa maneno yako ya bandiko hapo juu, una maana Tanganyika inakopa na kuwanyima wznz misaada na mikopo yao.
4. Umeeleza kuwa, znz inaweza kuchangia muungano kama itapewa kipaumbele cha bandari na biashara n.k.
Kwa maneno yako ya juu, una maana ZNZ inaweza kuwachangia Watanganyika!!!!
5. Hakuna taifa la Tanganyika, ukiungana na Shivji katika hilo.
Leo unasema taifa ulilosema halipo, ndilo lililopo.
Mifano ni zaidi ya 10 ikionyesha jinsi unavyobailika na kubadilisha position yako kila alfajiri na magharibi.
Nadhani ni ngumu kwangu na wengine kukuelewa hasa unasimamia nini, unazungumza nini na una tetea nini.
Tunachokijua ni kubadili position na kama utahitajika ushahidi upo wa kutosha.
Tanganyika
Kusema kuwa Tanganyika ipo isiyokuwepo ni muungano, hilo ni tusi kubwa sana kwa Watanganyika.
Kwanza, nikukumbushe kuwa umeangalia mjadala kwabahati mbaya hukuelewa au umeelewa vibaya dhana zilizojadiliwa
Pili, unajaribu kupotosha umma kwa kucheza na maneno zaidi ya facts
Mfano, unapodai Tanganyika ipo, isiyokuwepo ni muungano, una maana madai ya wznz ni dhidi ya Watanganyika na si muungano.
Mfano, wznz wanadai asilimia 21 ya ajira za Tanganyika, wanagharamiwa mambo ya wizara nyeti kwa gharama za Mtanganyika n.k. Hili ni tusi kwa Watanganyika na linahimiza kuzinduka kwake
Mkandara, elewa kuwa kinachotakiwa hapa fiscal autonomy kwa Tanganyika.
Hiyo itapatikana Tanganyika ikiwa inatambulika rasimi na kuwa na mwongozo wake kama ilivyo znz.
Hatutaki kuwa na dude Tanzania ambalo znz inalitumia kumuumiza Mtanganyika.
Elewa dhana ya fiscal autonomy na identity.
Kuhusu tume, walichosema ni kuwa kwa hali ya S2 muungano sasa haupo.
Wazanzibar wameondoa mambo mengi, na tume wameona ni kujidanganya kama tuna Sumatra na Zanzibar Maritime.
Hapa uelewe znz ipo Tanzania ili kullipiwa ada kule IMO na wala si muungano.Kwa
Ni kwa msingi huo tume ikasema, kuendelea na muungano wa kujidanganya huku Tanganyika ikibeba mzigo na Wazanzibar wakiungana kwa jina si kutenda haki. Na ni kwa jina hilo hilo wznz wanawajibika kupitia ili kuweza kujikwamua kwa mambo yao.
Prof Kabudi aliposema Watanganyika wana yao mezani alimaanisha hili.
Gharama za S3
Huko nyuma ulisema JMT inabeba gharama za S2 na ni rahisi. Tulikuuliza mara nyingi kwani gharama hizo zinachangiwaje? Hukuwa na jibu. Leio unasema S3 zitakuwa na gharama ukisahau hukuweza kutueleza gharama za sasa analipia nani.
Hoja yangu hapa si kujibu hoja zako, ni kukutaka utueleze unasimamia nini ili tuweze kujadiliana vema.
Kwa sasa kila jibu litakuwa na position tofauti na hilo litakuwa gumu sana the least to say.
Hebu tueleze, wewe unadhani nini kifanyike katika mazingira unayoyasema.