Homeland imekaa kiwaki, niliipenda season 1 peke yakeBlinders nilijilazimisha mno kuipenda ikanishinda ni sawa na homeland
Kaka unatakiwa upigwe viboko aisee homeland series kalii sana alafu inakushinda kwa nini aisee au upendi mizigo ya kikachero aka spyHomeland imekaa kiwaki, niliipenda season 1 peke yake
Mtu yeyote akini recommend series kwa reference ya homeland anakuwa amenikatisha tamaa.
Huo ukachero unaanzia season ya ngapi maana nilijilazimisha kuangalia season 1 maona kuna jamaa yupo na stress/trauma za matokeo ya vita amejifungia ndani tu karibia season mzimaKaka unatakiwa upigwe viboko aisee homeland series kalii sana alafu inakushinda kwa nini aisee au upendi mizigo ya kikachero aka spy
Kuna mdau humu nakumbuka tulikesha tukibishana kuhusu hii seriesKaka unatakiwa upigwe viboko aisee homeland series kalii sana alafu inakushinda kwa nini aisee au upendi mizigo ya kikachero aka spy
Nyinyi watu hampo serious kabisa au mnaangalia series huku mkiwa mnafanya mishe nyingineHuo ukachero unaanzia season ya ngapi maana nilijilazimisha kuangalia season 1 maona kuna jamaa yupo na stress/trauma za matokeo ya vita amejifungia ndani tu karibia season mzima
Afu hii imeachiwa season 1 peke yake?Hijack ni ya moto..itafuteni hii!
Utakua hujaangaalia homeland ww.Huo ukachero unaanzia season ya ngapi maana nilijilazimisha kuangalia season 1 maona kuna jamaa yupo na stress/trauma za matokeo ya vita amejifungia ndani tu karibia season mzima
Napata nafuu aisee sio kama mwanzoMrejesho?
😁😁😁😁😁Itazame yote kalii sana ndo inavyo anza ivyoHuo ukachero unaanzia season ya ngapi maana nilijilazimisha kuangalia season 1 maona kuna jamaa yupo na stress/trauma za matokeo ya vita amejifungia ndani tu karibia season mzima
Kabisa ajacheki aisee kalii ileUtakua hujaangaalia homeland ww.
Baelezee baambie baelewe series kalii ile mno yaaniNyinyi watu hampo serious kabisa au mnaangalia series huku mkiwa mnafanya mishe nyingine
Homeland kali sana,huyo jamaa labda kasimuliwa tuBaelezee baambie baelewe series kalii ile mno yaani
Kama unapenda drama inakufaaKuna series inaitwa SHANTARAM vp wadau niiruke nayo au ntajuta 😅
Hawa wanataka zile movie watu wanaanza tuu kupigana bila sabb ya msingi yaan hujui kisa kimeanza wapi mpk Russia na marekani wanagombanaBaelezee baambie baelewe series kalii ile mno yaani
Kabisa yaaniHawa wanataka zile movie watu wanaanza tuu kupigana bila sabb ya msingi yaan hujui kisa kimeanza wapi mpk Russia na marekani wanagombana
Wewee on digital?Limetoka leoView attachment 2701155