Series (Special thread)

The first episode reminds me of what might have happened in 17/march/2021. Or few days before the above date
 
Upo sahihi. Mtu anatazama series akiwa na matarajio yake au anatamaza kwa ajili ya kulinganisha.
 
Nimemaliza Treason...ya kawaida sana.Ngoja sasa nikae humu
Kaka treason sio ya kawaida ,Ni series nzuri Sana labda useme unapenda kuona watu wanapigana kwa mapanga but Ni bonge la series,story imekaa poa sana even if inafanana kidogo na uhalisia wa director wa fbi wa kipindi Cha nyuma ambaye alikuwa na file la kila mtu mkubwa mwenye wadhifa then anatumia hizo details kwa ajili ya kuwa na nguvu kwenye system ndicho alichokuwa anafanya director wa MI6 kwenye treason
 
Story nzuri ila wangejitahid kukaa kwenye uhalisia

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Wadau naomba kufaamishwa, je? hizi ni 'series' mbili tofauti!
Kama ndio naomba 'link ' ya kupakuwa hii series ya juu.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…