Series (Special thread)

Naona hata Ben asingemuua Jacob bado Richard angeweza kusurvive kwa muda mrefu zaiid pale kisiwan..
Nilifanikiwa kuimaliza lakin bado iliniacha na maswali meng sana.
 
Snowfall mi niliishia season 1 tu tena kwa shida sana ..

Yaan haiamasishi kwenda season 2
 
Nipo hapa nakodolea kitu murua taratibuuuu inaitwa AlRawabi School for Girls

kaseries flani ka kufurahisha kuburudisha yani una relax week end inaisha taratbuuuuu

Wazazi wenye watoto hii inawafaa sana kuna kitu kikubwa sana utajifunza ukiangalia hii series
 
Baharia mweuc muache tu, ila snowfall imeingia kwenye top series ambazo nimetizama, huwa si mwepesi kukubali kitu ila dogo Franklin ile ni talent, namuona mbali sana huyu chalii
 
Season 1 mpaka season 4 ya Lost, ni hatari sana.. dah umenikumbusha mbali sana, Kate na mzee Sawyer, good old days.. zilizoendelea niliishia njiani kwakweli, ile time travel ilinishinda
 
Season 1 mpaka season 4 ya Lost, ni hatari sana.. dah umenikumbusha mabli sana, Kate na mzee Sawyer, good old days.. zilizoendelea niliishia njiani kwakweli, ile time travel ilinishinda
Kuna twisting za kutosha mule kutoka kwa Desmond Hume.. ile nilimaliza mpaka Season ya 6 (final).

Series za zamani zamani story zake huwa ni kali sana.. ukianzia kwa 24, Prison Break, Breaking Bad, All Americans, n.k.

Na huyu mtunzi wa hii series ya Lost, Michael Giacchino ameandika movies na series nyengine ambazo ni kali. Kikawaida nikiiona mizigo yake lazima nipite nayo.
 
Kama kuna aliewahi kuiona Person of Interest au Alias aniambie ipi inanoga sana?
Nianze na ipi?
Na story zake kwa ufupi..
 
Series zake nimeona Lost na Alias tu, movies ndio nyingi na yuko poa sana, mission impossible, Star wars, Jurasic park n.k

Zamani ilikuwa balaa mzigo wa greys anatomy mpaka leo ninao season 18 naenda nao tu.. series za siku hizi season 1 unaona kabisa mwisho unakuwaje au season 1 tu chalii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…