Series (Special thread)

Pablo si ndio nyota kwenye hii series inakuaje anakufa mapema hivyo halafu movie iendelee?
Baada ya le patron au Don pablo pia waliibuka watabe wengine Kama kina cal cartel, hii siries imebase kwenye true story,
Netflix wanajaribu kusimulia biashara zaunga Kati ya amerika ya kusini kwenda marekani na Jinsi DEA walivyo kuwa wakidili nao
 

Hii sio series......ni movie!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…