Series (Special thread)

Huu ubabe kwenye hii series ni balaa. Hapo mbele kidogo ukienda utakutana na myahudi anaitwa alfie .ni hatar kubwa
 
Blacklist inarudi October 4
Your browser is not able to display this video.
 

kwa wapenz wa drama series, tafuta hii inaitwa GOD FRIENDED ME ipo vizuri sana
 
Hii mambo ni level ya Breaking Bad!!!!!
Ongeza speed ya kucheki,ufike season 4 ndo kuna wahuni hatari sanaaaaaaaa!!!!Akina Luca Changretta,Aberama Gold,Bonnie Gold,Alfie Solomon s4 ndo hatari

Damn!!Kesho haifiki,tuuuuu S5e5!!!
 
mkuu kwenye huu ulimwengu wa series za kimagharabi ni dummy kabisa, acha nipambane nayo mdogo mdogo then nitahamia kwengine.
unaweza kunitajia series nyengine zenye maudhui kama hii au project yoyote nzuri ilioandaliwa na huyu steven knight?
 
List yangu mpya...

1. PRISON BREAKS
2. VIKINGS
3.BREAKING BAD
4.GOT
5. MONEY HEIST
6.THE 100
7. IF LOVING YOU IS WRONG
MAMBO YA MAHABAA...
"IF LOVING YOU IS WRONG" drama nyingi sanaa hakuna uhalisia kabisaa ukija the 100 niliipenda S1 mpaka ya S3 baada ya hapo ni ovyoo wameharibu ni kama arrow walivyoaribu season 3 na kuendelea
 
"IF LOVING YOU IS WRONG" drama nyingi sanaa hakuna uhalisia kabisaa ukija the 100 niliipenda S1 mpaka ya S3 baada ya hapo ni ovyoo wameharibu ni kama arrow walivyoaribu season 3 na kuendelea
Ila kwelii...!! Yani mtu atembee na mke wako alafu ulete drama kama zile
 
"IF LOVING YOU IS WRONG" drama nyingi sanaa hakuna uhalisia kabisaa ukija the 100 niliipenda S1 mpaka ya S3 baada ya hapo ni ovyoo wameharibu ni kama arrow walivyoaribu season 3 na kuendelea
The 100 me hata sijui imeendeleaje yani mliipoteze season ya 3 episode za kwanza
 
huwezi ukalinganisha VIKINGS na GOT ww, nimecheki Vikings mpaka season 5 ni ovyoo.we sema tu GOT wameharibu season ya mwisho
Ntaitafuta hii GOT mkuu, lakini Viking binafsi yamoto asee....
 
Jamanii kazii tunapata kwa connection hata links pia wakuu??maana nnimeomba links ya ingobernable hata mtu tu kunielekeza shida.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…