Nafikiria vip jamaa wapande ndege kutoka jamaica leo halaf wafike after 5 years?? Daah hawa watu wanajua kuigiza bhana wanakuacha na maswali kichwani kila ep inayopita,,sasa ule mzimu naona umeanza kuwatandika watu risas za vichwa,sijui yule mtoto alipata ishara gan kumchora yule kivuli