Ewaaaaa upo sahihi kabisa sequel ambayo ingemake sense ni ya Agron na Nasir wake,Celadus na ilibidi ampe mapenzi ili apate ulinzi maana bila ivo angejuta...
Halafu mtu umekuja na cause zako toka huko kwenu,unasahau yote na destination inakua kulipiza kisasi cha mapenzi ule ni utoto wa hali ya juu....
Mwandishi alifeli kuandaa story au budget ndogo iliwacost...
Sequel nzuri ya spartacus ingekua house of agron kwakua ndiye aliepona peke yake kwenye ule msako...
Sijaianza, wamefika episode ya ngapi nowHuyu "Lioness" anatoka saa ngapi nimechoka ku refresh websites😒
Ya 3 kwa leo, 2 zishatokaSijaianza, wamefika episode ya ngapi now
unajua ile namna unamaliza tu kutazama movie kisha unazima zako taa ukalale..!? mara usikie kishindo, mara uhisi mtu anakugusa, hivi mateso huwa ni ya nini.!??Siku hizi naangalia horror mchana sio kama zamani nilikuwa naangalia usiku! Aisee zinatisha!
kuliko nitazame horror, bora nirudie Kirikou..!😁Hiyo ya obsession nayo khaa🙌🏾
Yani juzi nimeota ndoto nakimbizwa na kuku wengi sina hamu! Kwanza vile vishindo vya kwneye movie vinavyoshtua🙆🏽♀️ Kwahiyo sitaki kabisa hizo habari!unajua ile namna unamaliza tu kutazama movie kisha unazima zako taa ukalale..!? mara usikie kishindo, mara uhisi mtu anakugusa, hivi mateso huwa ni ya nini.!??
Hii ndio ya kishenzi huyo dada anajipiga na tofali mpk anapasuka kichwa😁kuliko nitazame horror, bora nirudie Kirikou..!😁
😁 😁Yani juzi nimeota ndoto nakimbizwa na kuku wengi sina hamu! Kwanza vile vishindo vya kwneye movie vinavyoshtua🙆🏽♀️ Kwahiyo sitaki kabisa hizo habari!
the covenant niliipenda ila kuna watu walii diss kinyama..!Kwa wale wa action za uhakika
View attachment 3651606
Duh, unajua kwenye movie kila mtu kuna kitu anapenda. Ila hi movie ilikuwa ni stori ya kibabe sana hasa kuhusu loyalty, ile scene ya mwisho jamaa aliiwangalia ahmed na mke na mtoto akaona amewaingiza mkenge. Kama unamoyo mdogo unaeza huzunika sana.the covenant niliipenda ila kuna watu walii diss kinyama..!
kuna watu wanataka ngumi mkononi, siyo wapenzi wa kufuatilia story kama story..! Mimi huwa natazama movie kwa umakini balaa kiasi kwamba ningekuwa serious shule hivyo sahii ningekuwa mbali..!😒Duh, unajua kwenye movie kila mtu kuna kitu anapenda. Ila hi movie ilikuwa ni stori ya kibabe sana hasa kuhusu loyalty, ile scene ya mwisho jamaa aliiwangalia ahmed na mke na mtoto akaona amewaingiza mkenge. Kama unamoyo mdogo unaeza huzunika sana.
Wewe calreen nilikimbizwa na kikundi kikubwa cha kuku mtaa kwa mtaa🤣😁 😁
Pole akiii, nimesikia ndoto nyingi lakini ya kukimbizwa na kuku ni kiboko..!
nakuelewa mamaqe..!Wewe calreen nilikimbizwa na kikundi kikubwa cha kuku mtaa kwa mtaa🤣
We isikie tu na wana mbio jamani🙌🏾
Khee🤣🤣🤣nakuelewa mamaqe..!
Mimi on real life niliwahi teswa na jogoo tena mmoja tu, nadhani alijua mimi ni mnyonge wake, kila nikipita hiyo njia ananikimbiza, nilikuwa nikipita hiyo njia nakimbizwa huku nalia,
na ndiyo ilikuwa njia ya kwenda dukani, kuna siku nilikimbizwaa, nikaanguka, nikamwaga masukari na majani ya chai niliyoagizwa, kipindi kile wanafunga vitu kwenye magazeti,
nikaacha hapo hapo hata vilivyobaki sikuokota, akaenda Mama kuvifata mwenyewe, wakaacha kuniagiza dukani kwa muda..!
hakuna siku nilifurahi kama kujua yule jogoo amechinjwa, yaani nilifurahi kama vile adui yangu kajikwaa kwenye kidole kidogo cha mguu..!😁😁