Kumbe hii movie umeicheki, basi we una jicho la vitu vizuri. Hii movie kwa saivi inavunja rekodi za thearter huko mambele.No!no!no! Dont do that, i thought were having a nice date, π hicho kipande huwa nakipenda
Naomba title ya hii movie poker napenda haya mamboβΊοΈ
umeniwahi Bro, nilikesha nayo usiku, nikasema nitakuja kuwashtua wana waicheck..!
itakuwa wana wamemsema sana, kanajifanya ka buddha, kanasaidia tu watu lakini hakafaidiki..!ππZamu hii hajayumba πππ
Hakuna scene ilinichefua kama alivyompa penzi yule mzee, lolIssue sio ASHUR..
Ashur si kama bathiatus tu au auvidius,vibius,titus calavius au appolinarie humu amecheza kama DOMINUS....
Tatizo ni ACHILLIA hakuna gladiator wa kike kwenye ludus yoyote ya kirumi so audience waliipa mgongo ndio maana wameicancel...
hata mimi nilikereka unakuaje bingwa mwanamke yan masela wakikubana wanakupiga vidole mara wachane chupi,yan haikuwa na ile mikiki kama SPARTACUS
Nimecheka kwa nguvu una hatari sanaaa nitakuongezea zingine za moto motoπΉ mapaja yalikuwa hayafunguki
Inaitwaje hii?
Aisee ni tamu hii horror movie..Hapana mama la mama,
nimeona comments ndiyo nakumbuka nilitazama mpaka trailer ila jina sikulishika..!
Celadus na ilibidi ampe mapenzi ili apate ulinzi maana bila ivo angejuta...Hakuna scene ilinichefua kama alivyompa penzi yule mzee, lol
Ndio maana nasema hizi 50/50 binafsi sizitaki, ifike mahala waache kututania
za kutisha ushaanza kuzoa au nazo bado unaogopabora wewe umeona uzembe, mimi naogopa mno ukatili, hata nijipe moyo kuwa ni movie tu, ila lazima nipeleke mbele ama nifunike macho nisishuhudie..!ππΎ
Evil dead BurnInaitwaje hii?
nitaitazama akii, umesema ni horror..!? sawa ngoja nijiandae kuchanganyikiwa..!πAisee ni tamu hii horror movie..
Siku hizi naangalia horror mchana sio kama zamani nilikuwa naangalia usiku! Aisee zinatisha!nitaitazama akii, umesema ni horror..!? sawa ngoja nijiandae kuchanganyikiwa..!π