Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,199
- 79,644
Huwa nina utaratibu kila siku huwa nacheki movie za kuanzia miaka ya 1970 hadi 2003 kwa siku natizama hata 3 hadi 4 kama jana nilipita na kill bill voll zote mbili ya 2003 na 2004Yani kivipi kwanza🤔
Ukikuta series ina Blacks hivi, ujue humo mijegeje inatembezwa vibaya mnoView attachment 3561360
Hivi Depal ukowapi? Yani huyu jules ana hasira na kimmie, uncle norman naye anataka kuwasha moto kwa mallory si unakumbuka balaa lake la season uno? Sijapenda ilivyoishaa😫
Kuna singo moja hivi yupo kel hilson aloo sio powaa mtoto ana ziwa saa 6 aisee ile movie tamu mnoUkikuta series ina Blacks hivi, ujue humo mijegeje inatembezwa vibaya mno
alafu tena akiwa tyler perry, huyo jamaa huwa anawaza ngono tu kwenye series zakeUkikuta series ina Blacks hivi, ujue humo mijegeje inatembezwa vibaya mno
Duhh uko vizuri anko😯Huwa nina utaratibu kila siku huwa nacheki movie za kuanzia miaka ya 1970 hadi 2003 kwa siku natizama hata 3 hadi 4 kama jana nilipita na kill bill voll zote mbili ya 2003 na 2004
Na leo natizama alien ya mwaka 1979 kisha nacheki na warbus ya 1985
Acha kabisa 😋Ukikuta series ina Blacks hivi, ujue humo mijegeje inatembezwa vibaya mno
Ukirudia movie za zamani raha sana mfano mzuri kuna movie hivi inaitwa Mean Girls ya 2004 sio poa humo ndani na kuna tambara linaitwa Full Metal Jacket hili la 1987 hukooDuhh uko vizuri anko😯
Nilishaicheki ni tamu balaa🤤 na TD jakes ndio producer huwezi amini! sijui ni kwanini kina kelly wanapenda sana haya mambo, kama kelly lowland naye si haba kwenye mea culpa😝Kuna singo moja hivi yupo kel hilson aloo sio powaa mtoto ana ziwa saa 6 aisee ile movie tamu mno
Inaitwa. Lust: A Seven Deadly Sins
Bibie alipigwa dekio kifuani aliloa na mvua😎
Seran hiki kichupa ushakicheki
Mambo haya matamu sana walaqhi 😍😍😍Nilishaicheki ni tamu balaa🤤 na TD jakes ndio producer huwezi amini! sijui ni kwanini kina kelly wanapenda sana haya mambo, kama kelly lowland naye si haba kwenye mea culpa😝
Mashoga sasa🙌🏾alafu tena akiwa tyler perry, huyo jamaa huwa anawaza ngono tu kwenye series zake
Ili mimi na wewe akili zetu🤣🤣🤣Mambo haya matamu sana walaqhi 😍😍😍
alafu tena akiwa tyler perry, huyo jamaa huwa anawaza ngono tu kwenye series zake
MIyeyusho mno mwana yuleMashoga sasa🙌🏾
😁😆😄😄😄 na hali hii ya hewa mjini daslamu inaruhusu kabisaIli mimi na wewe akili zetu🤣🤣🤣
SanaJamaa anaboa kwenye ushoga aisee
Wifi leo shenzi sana! Hata sienjoy mambo kabisa😖😁😆😄😄😄 na hali hii ya hewa mjini daslamu inaruhusu kabisa
Watu mnachimba hadi Unfamiliar umeicheki mi niliangalia tu blindly nkakuta nzuri..Hijacke S02 ndo alistahili hiyo late ya 6.5/10
Unfamiliar 9/10
Pole ndugu dah! Natamani tungepata hata kampani tupige kush na shisha😎😎Wifi leo shenzi sana! Hata sienjoy mambo kabisa😖