Dah.Yoh Kiranga finally Thomas Shelby is back, this time he is going against his son duke.
tarehe 6 ina achiwa kwenye cinema, tarehe 20/3 Netflix.
View attachment 3546906
Mnatutesa sana tusio na wenza loohπ₯²Nimefanikiwa kutazama mimi na mke wangu tulienjoy sana walahi
Pole mwayaaπππMnatutesa sana tusio na wenza loohπ₯²
By Order of the peaky blindersYoh Kiranga finally Thomas Shelby is back, this time he is going against his son duke.
tarehe 6 ina achiwa kwenye cinema, tarehe 20/3 Netflix.
View attachment 3546906
Sasa mbona wenzenu tumefunga, nyie kwanini mnacheck mizagamuoβ¦Hapana ndugu yanguππ
Nimempenda Zec πIna vijimambo japo haiweki kusikia dark desire na 365 π
Tyler Perryβs sistaz nimeangalia tangu nipo chuo ni ndefu ina season sijui 9π ni nzuri ndio drama nyingi sana..
ZacπNimempenda Zec π
Nitaitafutia mudaβ¦ hiyo ingine nitaangalia April ππ
Tumkumbuke mwanzilishi wa Uzi huu Viol.Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.
Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.
1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead
Hizo ni baadhi tu..
UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.
1.The last kingdom
2. Narcos
3. Quantico
4. Blindspot
5. The bastard executioner
6. Limitless
7. Jessica Jones
8. The Returned
9. Tyrat
10. Power
Dah!Sasa mbona wenzenu tumefunga, nyie kwanini mnacheck mizagamuoβ¦
Imetimia miaka 3πTumkumbuke mwanzilishi wa Uzi huu Viol.
Comment yake ya mwisho ilikuwa 2023 huko
Ni nzuri sanaKuna alieangalia Spartacus? Ni nzuri? Nimeshadowload season 1 ila sitaki inipotezee muda kama ya hovyooo
Asante. Wacha niendelee nayo.Ni nzuri sana
Hapana kaka ila soon atakuja online maana inaenda wiki ya pili sasa sijamuona ππππMrembo wetu Carleen umemficha huko keyg**mbn?