Series (Special thread)

ahsante kwa maelezo mazuri ndugu yangu..!
Yes kuhusu hizo Books naelewa wala hakuna shaka..

ila toka nilivyomalizana na Power Book II sikuendelea nayo tena, sababu ya Ghost kutolewa na pia Kanan was not my fav..!

at least tommy was my fav na madawa yake anayokula na his anger issues, japo sasa ile mood ya Power ilikuwa ishaondoka..’

nilivyoona comment yako I thought Ghost amekuwa resurrected walaqhi ningerudi kutazama tena,

but this has been appreciated mzee mwenzangu..!
 
You're welcome Lady...

Hii series ni kali mno itafute hii Force ni kali sana lakini ata iyo ya Kanan ni nzuri pia umo ndani kuna watu wamepinda sana kuanzia Mama yake Kanan sio mchezo yaani ni gangsters kweli kweli...

Kama ghost wakitaka kumrudisha nahisi watatumia hii book 3 Raising Kanan..
 
Na kuna POWER:ORIGIN hii itakua inawahusu story ya GHOST na TOMMY tangu wakiwa chuo wanaanza harakati za madawa
 

Attachments

  • Screenshot_20260121_095358_Instagram.jpg
    162.7 KB · Views: 11

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…