Series (Special thread)

mara nyingi sana huwa tunawekewa ujumbe kwenye hizi movie, sema mpaka tuje kuelewa huwa ni baadaye kabisa ama wakati mwingine tusielewe mazima..!
 
entity haija kaa kama anti crist, ime kaa kama total controller wa watu na kila kitu.

Rejea interview kadhaa za elon musk kapiga kelele kuhusu hilo, kuanzia kwenye ai use yenyewe mpaka matumizi yake kwenye maroboti.

kuna experiment moja ili fanywa na meta kuhusu robot, lili ji control lika anza kuzungumza na mtu ambaye siyo mwenye access nalo.
 
Nimeziona sasa, hata moja walai🙌🏻
 
Kama una Kumbuka kipindi Ethan ana ingia kwenye ile machine ya kuwasiliana na entity, ali ambiwa ita m control, na hakutakuwa na siri yoyote atakayo lificha.

1) ai imesha take control ya baadhi ya watu, kwa kuwafanya wali tegemee kwenye kila kitu.
Wengine mpk wana liita mpenzi, buddy.

2, ai ina kusanya data zako na kuzi tumia dhidi yako, imagine una ona google aki share na wewe vile vitu uli sema au zungumza nalo.
 
Kibao tu ukapiga yoweee inaonesha ulikua muoga sanaaaaaa, mimi mzee hajawahi kunipiga ila amenifundisha kupigana (self defence) inanisaidia sana kukunja taya za vijana watukutu😄😄
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…