Series (Special thread)

Tulsa King mnaisifia nikajarib kuitazama sioni maajab story nyingi🚮🚮
Hii kama hujafikia level za uchumi wa magumashi huwezi kuelewa kilichomo. Ukienda kwa wmiliki wa makasino na ulimwengu wa kutakatisha fedha ambao wengi raia wa tz waliaminishwa ni haram(wakati wakubwa wanapiga pesa) hao wamiliki wataielewa vilivyo. ILa kwa raia wa kawaida Bible sana hutaipenda kamwe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…