Series (Special thread)

Saizi nimepoa naenda wiki ya tatu now sijagusa series

Kuna muda tu stimu zinakata nakuwa sina mzuka kabisa.

Hiyo ntaichukua ila kuiangalia ni mpaka stimu zinirudie.
 
Aloo hivi hii movie starling ni nani?

Hofu yangu isije ikawa nime download movie tofauti na uliyoniambia

Naona mwanzoni mwanzoni tu mademu wanatoa vichapo kwa ma men wakiwa wamevalia vinyago.

Ndio hiyo au nimeingia chaka?

Hapo juu umewataja kina Anold, Rambo, Vann Dame nk. Ila sasa kwa trend nayoiona hapa ya hawa madem wanavyopiga wanaume nashindwa ku imagine hizo positions za hao wamba director atakuwa amewaweka kucheza kama nani
 
Ni code agent hao mademu ipo vizuri sana hiyo movie
 
Songa nayo usiishie njiani
 
Hivi hii series mmewai kuitupia macho nilianza kuiangalia 2021 , ni nzuri ina maswali kibao kama kwenye FROM au LOST sisi wakongwe tunasubili final season mwakani
Nzuri sana hii πŸ”₯ now nipo na the boys season 4
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…