Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,407
- 54,858
Oaaa wee hv internet cafe uwezi kuta kuna ile limit mzeee...Duh polee sana ππππ Kabisa hizi bando za kupima ni balaa hivi huko mtaani kwenu chamazi hamna mahali pa internet cafe nikupe mafile hapa ya gb za kutosha ni 1080 mkuu
Uwe unawekea na backup mkuu Mimi nililia sana nimepoteza series na movie kibao afu sina backupDaaah oaaa weee pole mwanangu.... Mi ndo mana sitaki kuwa na tb kubwa kwa pamoja ujue...
Kama hapa ambayo ipo kwa pamoja hii 2tb na nipo makini kinoma maaana ndo maisha yangu yapo hapo πππππππ
Hawaweki limit kaka afu skuizi ni buku tu Mimi hata hapa mtaani nawaungiaga wana wakinipa buku usiku nawaachia wapige kaziOaaa wee hv internet cafe uwezi kuta kuna ile limit mzeee...
Kama ndo hivo naweza ingia chuo flan hv kiwizi wizi nikapakue mzigo chap kwaaah ππππππ
Oaaa weee kwahyo huo.mzigo uki corrupt hata RECUVA iwezi rudisha au π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊUwe unawekea na backup mkuu Mimi nililia sana nimepoteza series na movie kibao afu sina backup
Picha mimi ndio za muhimu, hayo ma series nikitenga wiki tu kila kitu nakirudisha.Uwe unawekea na backup mkuu Mimi nililia sana nimepoteza series na movie kibao afu sina backup
Tuongelee jinsi gani ya kupunguza zile telabyte zako mkuu uwoni pc inaanzala kuwa nzito πππππNipo sema ndio nikate roho hapa
Inarudisha kaka sema uilipie sasa hiyo recuva maana ya free ni balaa itarudisha mafile machache au upate cracked yakeOaaa weee kwahyo huo.mzigo uki corrupt hata RECUVA iwezi rudisha au π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
Oaaa weee mi.kesho mapema naingia kuzisaka hizo cafe za internet....Hawaweki limit kaka afu skuizi ni buku tu Mimi hata hapa mtaani nawaungiaga wana wakinipa buku usiku nawaachia wapige kazi
Hauko seriously kabisa π π πPicha mimi ndio za muhimu, hayo ma series nikitenga wiki tu kila kitu nakirudisha.
Picha ya mb 2 imebeba kumbukumbu ukiipoteza huna pakuipata.
Ndio sema Zina kasi mkuu ni balaaOaaa weee mi.kesho mapema naingia kuzisaka hizo cafe za internet....
Sema uwezi kuta wana port za Ethernet sio kaka ni mwendo wa fidelity au..
Hapo unyaka kama buku tuu mbona watanikoma hapa by morning nipo huko mpaka saa sita naweza shusha madude sio kakaNdio sema Zina kasi mkuu ni balaa
Hayo ndo mambo mkuuFuta hiyo ngoja nikupe ojii hapa kaka
Njoo pm nikupe location kakaHapo unyaka kama buku tuu mbona watanikoma hapa by morning nipo huko mpaka saa sita naweza shusha madude sio kaka
Nimeshaweka hapo kakaHayo ndo mambo mkuu
Weka plus hapoOaaa ushawahi pata movies ila subtitles zake zinasumbua kinyama an ile G na H kwa delay inaenda mpaka -43000ms
Hii hapa mkuu Poor BrainIngia hapa hii ni yenyewe
Oaaa weee hapo unacheza ka cr7 hvi ππππIngia hapa hii ni yenyewe
ππ€£ππOaaa weee hapo unacheza ka cr7 hvi ππππ