Mnajitwisha ma series magumu ili iweje? 😁😁😁Nipo naangalia hii series ya Dark asee kuielewa inahitaji utulie kwelikweli yaani humu ndani kuna time travelling za kufa mtu hadi naimani director mwenyewe alichanganyikiwa.
Kwenye history mashuleni tulifundishwa kitu kinaitwa Family tree yaani huyu kamzaa huyu na huyu akamzaa na yule akazaliwa na fulani n.k, sasa humu kwenye hii series jaribu kupanga iyo kitu uone vile mambo yakuendea😅
NB:btw huo ni mtazamo wangu sijui nyie wadau wa series kuna alielewa kirahisi
Ina jumla ya season 3
1=10
2=8
3=8
View attachment 3072779
Series ngumu kinoma yaani..Mnajitwisha ma series magumu ili iweje? 😁😁😁
Kusema kweli Dark mimi ilinishinda nimejaribu kuangalia zaidi ya mala 3 nimeshindwaSeries ngumu kinoma yaani..
Nina uhaba wa movie nikaona acha niiangalie ila balaa lake nalokutana nalo sio mchezoKusema kweli Dark mimi ilinishinda nimejaribu kuangalia zaidi ya mala 3 nimeshindwa
Kuna muda mpaka naogopa kutoa maoni kwasababu ntaonekana ni mtu wa kupinga kila kitu.Mnajitwisha ma series magumu ili iweje? 😁😁😁
Kuna kipande kuna mmama uyo kamzaa mtoto wa kike wakati huo yeye hamjui mama yake ni nani sasa mbeleni tunaonyeshwa uyo binti aliemzaa ndo mama yake mzazi apo nimeunganisha matukio nikasema hapana asee acha niimalize tu ijulikane moja lakin sio kuelewa.Mnajitwisha ma series magumu ili iweje?
ngumu sana hiiKusema kweli Dark mimi ilinishinda nimejaribu kuangalia zaidi ya mala 3 nimeshindwa
Huu mzigooo unaendeleaGodfather of Harlem nimeimaliza rasmi jana na iko poa sana kama rate yake ilivyopewa.
Kitu kimoja tu ambacho nilikuwa naanza kuona kama director alikuwa anaenda kutukatili ni kuitamatisha Series kwa season 3.
Kiu ya audiences ni kuona muendelezo wa maisha ya Bumpy Johnson yanakuwaje baada ya yeye kuacha u-drug dealer.
Na vipi kuhusu kiapo chake cha kulipiza kisasi cha rafiki yake Malcom.
Na vipi Harlem itaweza kuwa kwenye utulivu chini ya imaya ya Chin Gigante ambaye amepewa full authority na Bumpy baada ya kujitoa kwenye game.
Lakini baada ya kuona hii picha kwenye ukurasa wa mmoja kati ya actor wa hiyo series nikajiridhisha kuwa director anaenda kukata kiu yetu.
View attachment 3072921
Yeah mwaka jana walisema itaachiwa mwaka huuHuu mzigooo unaendelea
Mnajitwisha ma series magumu ili iweje? 😁😁😁
Hii inafanana na travellersNipo naangalia hii series ya Dark asee kuielewa inahitaji utulie kwelikweli yaani humu ndani kuna time travelling za kufa mtu hadi naimani director mwenyewe alichanganyikiwa.
Kwenye history mashuleni tulifundishwa kitu kinaitwa Family tree yaani huyu kamzaa huyu na huyu akamzaa na yule akazaliwa na fulani n.k, sasa humu kwenye hii series jaribu kupanga iyo kitu uone vile mambo yakuendea😅
NB:btw huo ni mtazamo wangu sijui nyie wadau wa series kuna alielewa kirahisi
Ina jumla ya season 3
1=10
2=8
3=8
View attachment 3072779
Hii kalii sana hii ndugu yangu Mr Q na Carleen kazi hii itafuteniView attachment 3073686
The fall of the house of Usher
Mfululizo wa vifo vya utata vinaikumba familia ya tajiri moja anayemiliki kampuni za kutengeneza madawa ya binadamu.
Ifatilie kali sana ila inatisha balaa, nashauri usiangalie usiku. Enjoy🥰
Ni bonge Moja la comedy kalii sana mkuu Cc ephen_Kuna series ya Modern Family nan ameiona nataka niianze ila ni ndefu hatari nataka kujua if it’s worth the watch 😂😂