Series (Special thread)

Mimi sipendi kuchoma macho na kuchosha ubongo kusoma subs. Weka link hapa ya dubbled <720p sio ile mizigo yako ya FULL HD 😂😂🤣🤣
 
Aaah sasa na nyie mtakuwa mna utani

Episode kutoka 3GB imekuwa reduced mpaka kwenye 122MB hivi mnaona kweli kinachooneshwa?

Capacity ya 122MB kwa resolution hiyo sio 244 kweli??



 
Nimeona kuna taarifa imetolewa kuwa mwaka 2025 asilimia 50 ya watu watakuwa na matatizo ya macho

Kati ya hao 50% naliona kundi kubwa la waliopata matatizo ya macho kwa kuangalia low quality
Sio kwa kufuatilia subtitles? huo utafiti utakuwa ni promo ya watu waunge mabando manene 😁😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…