Series (Special thread)

Series (Special thread)

Movies ambazo sterling ni demu huwa siangalii

Anatakiwa kuwa demu wa star awe ana mpeti peti baada ya mission nzito.

Sio yeye ndio awe star, hiyo hakikubaliki na halmashauri ya kichwa changu.

Naona kama naongopewa kirahisi na kitu ambacho kinanitoa kwenye focus ya kuzidi kuitazama filamu.
 
Movies ambazo sterling ni demu huwa siangalii

Anatakiwa kuwa demu wa star awe ana mpeti peti baada ya mission nzito.

Sio yeye ndio awe star, hiyo hakikubaliki na halmashauri ya kichwa changu.

Naona kama naongopewa kirahisi na kitu ambacho kinanitoa kwenye focus ya kuzidi kuitazama filamu.
Kwamba unaona midume inapigwa ngumi za shingo inashindwa kufurukuta 😁😁😁

Ila kuna madem wanakata mikono balaa tena wanapiga kwenye soft spot. Kuna footage niliiona msimamizi wa restaurant alikutana na mijamaa imeenda kula halafu ikaanza kulete za kuleta dem akatoa mkong'oto kwa njemba kama tatu kwa dakika chache tena na mwamvuli tu na hiyo ni cctv footage.

Mwingine kwenye elevator/lift kuna mijamaa ilikunjwakunjwa humo na dem simple tu. So usiwachukulie poa
 
Kwamba unaona midume inapigwa ngumi za shingo inashindwa kufurukuta 😁😁😁

Ila kuna madem wanakata mikono balaa tena wanapiga kwenye soft spot. Kuna footage niliiona msimamizi wa restaurant alikutana na mijamaa imeenda kula halafu ikaanza kulete za kuleta dem akatoa mkong'oto kwa njemba kama tatu kwa dakika chache tena na mwamvuli tu na hiyo ni cctv footage.

Mwingine kwenye elevator/lift kuna mijamaa ilikunjwakunjwa humo na dem simple tu. So usiwachukulie poa
Ili nishawishike kuwa demu ni sterling atayemsumbua mwanaume inatakiwa huyo demu awe jini

Yani kiufupi awe na kitu cha ziada. Hivi hivi hapana.
 
Watu mnasiri. Kumbe kuna kigongo kinaitwa king of killers na hatuambizani?
1702406365863.png
Screenshot_20231212-213705.png
 
Watu mnasiri. Kumbe kuna kigongo kinaitwa king of killers na hatuambizani?
View attachment 2840838View attachment 2840839
We ni kawaida yako kupagawa na covers afu mwisho wa siku ukiangalia lazima ujutime Mb zako

Hujifunzi kwa yule kibopa wa kwenye last resort alikuchanganya na ule ushikaji wake wa Binduki mwisho wa siku ukakuta miyeyusho?
 
We ni kawaida yako kupagawa na covers afu mwisho wa siku ukiangalia lazima ujutime Mb zako

Hujifunzi kwa yule kibopa wa kwenye last resort alikuchanganya na ule ushikaji wake wa Binduki mwisho wa siku ukakuta miyeyusho?
Hii nnauhakika itakuwa yenyewe😁😁
Nimeangalia trailer na comments za wajuba nimevutiwa nayo
 
We ni kawaida yako kupagawa na covers afu mwisho wa siku ukiangalia lazima ujutime Mb zako

Hujifunzi kwa yule kibopa wa kwenye last resort alikuchanganya na ule ushikaji wake wa Binduki mwisho wa siku ukakuta miyeyusho?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom