Series (Special thread)

Kwa nini mkuu?

Yani challenge ya kwanza,kule uwanjani wanakuwa eliminated sio kama vile squid game original jinsi wanavyokufa ila huku sioni ile suspense.Labda nivumilie challenge zingine ila hii ya kwanza haina ile kuuwawa kwa kutisha ni kama hamna kifo kwa washiriki.
 
Sawa mkuu mm ndo nataka niichukue.
 
Nyinyi hiyo ni reality show sio maigizo kama ya Squid game naona wengi mmeyatimba mkidhani ni maigizo
 
Wakorea walete squid yao tu. Hii naona ni ujinga hata mimi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…