Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,248
- 79,827
Mimi macho yakiniuuma navaa mewani toka mwezi wa kwanza hadi leo nacheki movie na series mfululu hadi kichwa kinauma🤣🤣🤣😂😂😁Usiangalizie kwa Pc tu.
Inaua macho
Kuna week nilikuwa likizo, nikafululiza nakimbizana na Merlin niimalize. Nimekuja kumaliza nikaanza kufeel wenge flan.
😂😂 haha ni mambo kama za kina 50 shades of Grey?Dah ma black huwezi watenganisha na mikazo🤣😂😂.
👉Kuna mdada best angu, nili mkuta ana angalia I'll shaka - haa😂🤣.
👉Mle winchinchi ya wazi wazi🤣😂
Hii kwa wapenzi wa Japan AnimeYeah ni Kali Sana, ila We morgana, kaitafute hii ni 🔥🔥🤣😂.
Ina itwa one piece
View attachment 2767073
Ndio ndioJack reacher ume Iona??
Haha miwani siwezi kuvaa jamaniMimi macho yakiniuuma navaa mewani toka mwezi wa kwanza hadi leo nacheki movie na series mfululu hadi kichwa kinauma🤣🤣🤣😂😂😁
Hii shaka sio powa aisee wanalambana mno🤣🤣😂
Kuna documentary inaitwa pressure na kuna movie inaitwa love hizi ni hatari sana😂😂 haha ni mambo kama za kina 50 shades of Grey?
Ah! Havikiwi kuwa too much.
Kabisa now asubuhi natizama kwenye simu jioni natizama kwenye pc hapa natizama the wheel of time season 2 ep 6Haha miwani siwezi kuvaa jamani
Emu tuyalinde haya macho.. kuanza kutizama watu kwa kulipia hapana bana 😂
Usijiumize sana
Uwe unajipa brake, ama brake ni wakati wa kuoga tu 🤣🤣
Heri Tv kidogo iko mbali. Ila Pc ndi balaa
Kwa simu ndo una jiumiza wewe, afu mkiangalia tv, simu au pc msi zime taa🙏.Usiangalizie kwa Pc tu.
Inaua macho
Kuna week nilikuwa likizo, nikafululiza nakimbizana na Merlin niimalize. Nimekuja kumaliza nikaanza kufeel wenge flan.
Yaani yulee mdada Hadi nili muogopa😂😂🤣🤣, maana Akili yake naijuaga😂Hii shaka sio powa aisee wanalambana mno🤣🤣😂
Uwe una tumia xsone dawa ya macho, + pedinilisone ya vidonge.Mimi macho yakiniuuma navaa mewani toka mwezi wa kwanza hadi leo nacheki movie na series mfululu hadi kichwa kinauma🤣🤣🤣😂😂😁
Hi sio animation, ni movie mzee.Hii kwa wapenzi wa Japan Anime
Asante kaka ntaanza kutumiaUwe una tumia xsone dawa ya macho, + pedinilisone ya vidonge.
Sijawahi angalia movie na simu. Na sijui kama naweza.Kwa simu ndo una jiumiza wewe, afu mkiangalia tv, simu au pc msi zime taa🙏.
👉Lazima mwanga utafute exit ya kwenda, na sio kuushia machoni. Science Hiyo😂
Mnazipendea nini?Kuna documentary inaitwa pressure na kuna movie inaitwa love hizi ni hatari sana
Sio mbaya, ila tafuta ile nyeupe yenye mwanga hafifu.Sijawahi angalia movie na simu. Na sijui kama naweza.
Nikiwa naangalia movie, nawasha taa ya blue. Ni sawa?
Wana junjana hao, yeye na in law wetu😂🤣Mnazipendea nini?
Zina ma party na hamsha hamsha mfululu 🤣🤣😂😂😁Mnazipendea nini?
Dada una umiza macho washa nyeupeSijawahi angalia movie na simu. Na sijui kama naweza.
Nikiwa naangalia movie, nawasha taa ya blue. Ni sawa?