Serengeti fiesta 2014 special thread


Umenifurahisha mkuu!lakini ni kweli hao waliomshangilia hawatamsapoti kwa kununua kzi yake yyte mpaka fiesta ijayo so atabaki kuwa fiesta boy wakati diamond ndo anasepa zake majuu.Msanii inabidi ujiweke kisuperstar atlist uvutie sasa mkimshauri team zake za kinafiki utasikia hapendi mbwembwe.
 
Namuhurumia mama yako


Mkuu itakuchukua miaka mingi sana kama haukuielewa performance ya weusi pooooolee sana..... weusi wako mbali mno... co hao wasanii wengine wanaoimba juu ya cd. Weusi ni wabunifu... wanaskika... wanatawala jukwaa... yaan wako poa..
 
Mpaka leo bado kuna watu wanaizungumzia Fiesta!!like seriouz? Huu ni ukanjanja na ukosefu wa kazi za kufanya

Poor minding
 

Ishu ya kupanga azomewe czani kama niyakweli ivi umati wote ule jamani? Au iliandikwa kwenye tiketi? Hayo ni maneno tu mjeda kazomewa noma
 
Haya, napmba msamaha. Nawe matusi yako unayasahihishaje?
 
kwani mashabiki wanalipia hela kumuona promota akiimba ama domondi?

Ngugu yangu samahani sijui kabla ya kuandika hichi ulichopost ulikaa na kufikiria kweli...maana naona hamna hoja ya mcngi apa,sas mkuu ata km msanii hajalipwa pesa yake waliyokubaliana na muandaaji wa show(promoter)we ulitaka apande stejini aanze kuwafurahisha mashabiki free of charge kisa yeye ndo waliyemuendea?ungekuwa wew ungefanya iyo kazi?pesa kwanza then burudani inafata kiroho safiiii...pamoja platnumz piga kazi chalii angu watakuelewa tu.
 

Ahsante mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…