Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Hawa wengine wanatuombia nyimbo nzima kama tulizo nazo na mbaya zaidi ni play back
 
Mi namsubiri wifi Sepetunga aje kutingisha WEZERE
 
aaaah aaaah am sorry @ mchunguzi naomba unisaidie aisee Dimond naona kapanick kaja tofauti mno tofauti na nilivyomtegemea zen naona watu kama wamemchoka aisee uwanja ni kimya aaaah Dimond angekuja kwa stlye yake ile ile bwana si kumjibu Ally k ok acha tuone
 
Back
Top Bottom