Kuna watu hawamkubali kiba hadi avae magauni!
hujawahi kutana na wazuri....uko mkoa gani?
Kiba on stage but amepooza
Hamna kitu Dangote akija hapo kutawaka moto
Ni mzuri wa kisura kama msomali fetty bwana abadilike hafanini swaga za kiume kabisa na sura yake nzuri
Haha kiba mpaka sasa kwenye kuperfom kafunikwa.....
Dangote akija atajuta
Umeona anavyokatika hhhha hadi rahaaaa
Hamna kitu Dangote akija hapo kutawaka moto
akimaliza nalala
Mkoa haujalishi fety mzuri wa reception hana sura pana ka ugomvi ya kisomali flani hivi poa ndefu
Mkoa haujalishi fety mzuri wa reception hana sura pana ka ugomvi ya kisomali flani hivi poa ndefu