Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Ni wazi kwamba DOMO kachokwa..,
raia wanamtaka KIBA.
 
Ally k je ana mashabikiiiii weeeeee
Sasa kiba jaman alie kabisa kuona watu wanamkubali lakini ye anajivutaaa

Team kiba wanamshabikia mpuz wao.kinafiki....na wengi.ni wale wasiopenda mafanikio ya diamond..take it or leav it
 
Bado hujakubaliiiiiii????

Watu mnakosea huu sio mpambano wa kiba V Diamond ila ni wa Diamond V others..hao wanaoshangilia wote si mashabiki wa ally kiba bali ni mjumuiko wa mashabiki wa wote wanaomchukia Diamond
 
Kiba kakodi zile shangwe za Kariakoo,hajawajua vizuri hawa,kuna siku hasim wake[Diamond] walimgeuka walimrushia Makopo nadhani ilikuwa Maisha sijui Bills if not mistaken.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
duu huku ni shida aisee watu wanamtaka Ally k,ni alikiba alikiba watu hawaelewi hawana shida na T.I wao ni wanamtaka Ally K mwenye mji wake.

utatuambia nini sie watoto wa uswazi kuzaliwa ocean road enzi hizooooo!!!!!!
 
Back
Top Bottom