Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
KUNA HATI HATI YA DiAMOND KUZOMEWA STEJINI
Tumsubiri dangoti tuone reaction
aaaah aaaaah aaaaah aaaah huyu kiba ni nyoko aisee,Uwanja mzima unaimba,leo nakiri kabisa Ally k hakujua kama ana thamani kiasi hichi aisee,Mapenzi yana run this dunia, kanyimwa uwezo tu wa kucheza lakini ni shidaaaaa ila sijapenda demo yake imedhihirisha kwamba ana bifu na Dangote wa Sepetu.
msomali pure ila kazaliwa tabora
ndgu zake wanaishi UK baadhi kwa hapa dar magomeni
Very sad sauti ya jide wana mute
KUNA HATI HATI YA DiAMOND KUZOMEWA STEJINI
fety mzuri bana huyo kama hataki alambe ndimu tu.
Kwanza atakavyovaaa tu weeee lazima wakaeee
Dah hiyo ni kwweli kabisa wazuri hatari hadi reception
Kiba kashangiliwa kinoma ila dangote akija uta amini utakachokiona watu watachanganyikiwa hapo
kiba hamna kitu,eti im back na ma playback,ziro kabisa
Kiba bwana .....never understimate your enemy.....atakachofanya na Dai + Wema anaweza kunywa sumu kesho